Ni hatua nzuri sana ambayo lzm tumpongeze mheshimiwa rais kwa kulisisitiza hili. Wapo baadhi ya watendaji wasio waamnifu wa nataka kupiga pesa kwa hili pia. Kuna baadhi wanaruhusu yachongwe ya softwood lakini kwa bei ileile. Hii inafadhaisha sana. Kwa kweli hawa lazima walaaniwe kabisa
Kinachoumiza ni pale baadhi ya watendaji wakijabudhiwa hizi pesa ili kufanikisha hili la madawati wanaona ni nafasi ya kupiga hela. Ule mtindo Wa asimilimia kumi. Wapo wanaotefeneza madawati kwa shs 50000 kwa kutumia soft wood, na wengine kujitahidi kuyageuza rangi yaonekane km ni hard wood...
Jamani tunataka maendeleo. Nchi hii watu tunaendeshwa sana na mihemko ya kidini. Alipokuwa JK tulisema tuliyoyasema. Mkapa, Msingi, na Nyerere pia. Kwenye list ya wakuu wa wilaya katoa vigezo alivyotumia. Tuwaache wafanye kazi. Udini ni shimo la kifo
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar utadumu tu, kigezo kikubwa ni kuwa indigenous wengi wa Zanzibar walitoka Tanganyika. Tuna vingi vinavyotuunganisha kuliko vinavyotuletea tofauti. Wanaoleta maneno mengi ni wanasiasa fulani fulani. Lkn kikubwa cha kupigia kura ni muundo wa huu muungano wetu...
Nahisi kuna kitu hakijawa sawa hapa. Binafsi siyakubali hayo tena toka moyoni mwangu. Na siyo yafanywayo na Israel tu. Nchi zote na hata vikundi vyote visivyo heshimu utu na ubinadamu. Na hata mtu moja moja asiyejali utu wa mwingine simtetei na nadhani sheria ichukue mkondo wake. Tanzania km...
Lkn kuendeleza msimamo ambao hauna impact yoyote kwa miaka 48 sidhani km kuna maana tena. Ni sawa tu na kuamua kupigana vita ambayo unajua utashindwa. Pia sidhani ushawishi wetu wa sasa kimataifa ni mkubwa hivyo kwamba kuendelea kuwa na msimamo huo kusaidie kuleta mabadiliko yoyote. Ni bora...
Aliipingana na sera ya nchi ya kutofungamana na upande wowote. Nakumbuka tulikuwa na hiyo sera. Nadhani sasa na muda wa kuangalia faida za kiuchumi zaidi. Sidhani kwa Tanzania kuamua kuendelea na huo msimamo ambao kwa miaka 48 haujaleta mabadiliko yoyote kama utakuwa na impact tofauti...
http://www.indaweb.com/oil/editorialopinion/tzemach.news.service01l.htm
Nimeisoma hii kuhusu namna neno Palestine liliibuka nimestuka. Kumbe kweli haikuwepo nchi ya jina hilo. Wajerumani walitumia jina hilo kuwaudhi jews
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.