Dogo una ushahidi kuwa waislam walibebwa kwa miaka 10? Unaweza kutuwekea uwiano wa wateule wa JK kwa dini zao hapa ili tujuwe ukweli?Haya majamaaa kama mabwege,mmebebwa miaka kumi yote tumenyamaza,,sasa hvi mmesahaulika kwenye teuzi mbili tatu mnasema mnaonewa,,,,sijui ni watu wa namna nyie
Wachungaji na mashekhe wanakazi zao sasa nchi inaendeshwa na katiba sio dini sisi watanzania tunataka maendeleo waarabu na wazungu walituletea hz dini na kutupa majina kama ally au moses lakin yeye mzungu hakubali jina mangiNilishawahi kuandika maoni yangu kama hayo pale Mh Rais alipoteua mawaziri makatibu wakuu na wakuu wa mikoa lkn badala yake nikaishia kupewa Ban humu JF...
Kinachofanywa na magufuli ni upendeleo wa waz waz na tukikumbuka enz ya Jk japo aliwapa sana hawa jamaa nafas stil aliitwa ni mdini...sasa tunamtaka ajue kwamba bado ana safar ndefuu...na kama anataka kuturudisha huko sisi tumeshazoea...
Nchi Hii ni yetu soote na ajaribu kukumbuka kauli zake kipind cha kampen
Wakati wa Utawala wa JK kulikuwa na gazeti linaitwa " NYAKATI" silisikii kabisa siku hiziChanzo cha hii habari ni gazeti la kidini. Hivi awamu iliopita gazeti hili liliwahi kuhoji JK kujaza upande fulani?
Hii Singo ishachuja tafuteni nyingine.Wakati tukisoma madrasa wenzetu walikuwa wanapata elimu dunia.... ni makosa yetu wenyewe tusijifiche kwenye kivuli cha mchicha, dini yetu haina kipaumbele kwenye maswala ya msingi hasa ya kimaendeleo! Ukishakosea msingi usitegemee nyumba kuwa imara
Jamani tunataka maendeleo. Nchi hii watu tunaendeshwa sana na mihemko ya kidini. Alipokuwa JK tulisema tuliyoyasema. Mkapa, Msingi, na Nyerere pia. Kwenye list ya wakuu wa wilaya katoa vigezo alivyotumia. Tuwaache wafanye kazi. Udini ni shimo la kifoWakati wa Utawala wa JK kulikuwa na gazeti linaitwa " NYAKATI" silisikii kabisa siku hizi
DiniTusome nini..!? kuna sekta gani ambayo hatuiwezi.!?