Kitu kinachoanza kujitokeza ata huko uingereza baada ya kuamua hakuna upande uliokuwa umejipanga pande zote mbili azijui what next wanajitoa vipi, wana negotiate nini na EU maana sio kwamba walikuwa awafaidiki, apparently kuendelea kushirikiana kiuchumi akuondoi tatizo la msingi kwenye free movement of people (swala sio wakimbizi wala, african migrants who can be controlled; issue ni uraia wa EU).
Matokeo yake vyama vikuu vya siasa vimevurugika labour wana mpango wa kulazimisha kiongozi wao atoke kwa nguvu wanamlaumu kwa campaign hafifu iliyosababisha wanachama wao kutopiga kura ya inn. Conservative nao awajielewi hao brexit kumbe awana plan yoyote ya jinsi ushirikiano muhimu utakavyo fanya kazi kwenye ku negotiate na EU, waziri mkuu ataki kuitisha mchakato rasmi wa kupeleka maombi ya kujitoa ambapo inabidi awataarifu EU UK inataka ku-excercie 'article 50 of lisbon treaty' ndio procedure rasmi zianze. David Cameron anataka hayo mambo yafanywe na waziri mkuu ajaye, kama atokuwa kutoka Brexit side of the campaign chama bado kitakuwa na mzozo mwingine especially way forward with EU.
Its chaos kuna baadhi ya wabunge washaanza kudai referendum is not legal binding sio lazima wajitoe, kwasasa kutokana na mazingira ya kwamba ndio kwanza watu wameamua hili swala linawekwa kapuni. Lakini upepo ukitulia wanataka bunge ndio liamue sio kura ya maoni hiko ni kinyume na demokrasi, hili swala apparently bado linahitaji mjadala mrefu sana bungeni alikadhalika EU nao wanataka hii shughuli iishe waendelee.
Nadhani nchi zingine watatumia mazingira ya UK kama case study before following suit its a complicated divorce apparently the marriage wasnt all bad rather some aspects were annoying to those filing for devorce.