Na hii ni kutokana na Madheheb ama mtazamo ,tatizo jamaa zetu wakristo wanasahau kama kuna kitu kinaitwa itikadi (mitazamo)tofauti ktk dini na ndo kinachosababisha Madhehebu ,hata wao jamaa zetu wanayo madhehebu mbalimbali so wasidhan kama waislamu wote wana mitazamo hyo ya kigaidi
Hao wanaoua...
Yap...This is the best advice.
Soma kwa kuelewa sio kukariri sababu kama umekielewa kitu basi ni vigumu kusahau haraka hvyo ila kama umekariri si ajabu ukatoka nje ukakutana na tukio la ghafla likakushughulisha ukajikuta umesahau kila kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.