kivip dada?Utajikuta umetawanywa wewe!!! Kama una moyo mwepesi bora usimrudie kabisa
[emoji54][emoji54]nimepata misamiati mingi hapa [emoji106][emoji106][emoji106]If you've never been cheated on, it's easy to say you would immediately dump your partner if she was unfaithful. But in reality, things are not always that black and white. Feelings of love don't instantly disappear no matter how angry, disappointed, hurt and betrayed someone might feel. And while infidelity destroys many relationships, some couples are able to overcome it....sasa hatujui mkuu upo side ipi maana it seems bado upo upo side ya huyo chick
Atakubwaga tena alafu uje kutoa uzi mwingine hapakivip dada?
Piga rungu hadi utamu umkolee na ahisi kuwa mko poa kabisawasalaam wanajamvi, miezi kadhaa imepita tangu nije hapa. mpenzi wangu alichepuka akanisahau,akanitupa kule. kiukweli niliumia sana, ilifika kipindi mpaka nilikuwa naugua yaani, ndugu msomaji huwezi kuamini kila nikimkumbuka nahisi nyongo inataka kunitoka.
kilichonileta hapa leo, kwa sasa nimeanza kupona majeraha, nimeanza kuzoea maisha bila yeye, cha kushangaza ameanza kurudi sasa. kunitafuta mara kwa mara, kunisalimia , kuna kipindi najikuta nawaza sijui niendelee kumtawanya tu halafu nimwache njia panda ( yaani najifanya nimerudi kiukwel ukweli akikolea na kuharibu kule ndo namtupa kule) , Au nawaza nimjibu vibaya ili imuume mpaka baasi...., najikuta nipo njia panda kuamua nimfanye nn huyu
Mpenzi wangu amechepuka, natamani kumkomesha
Huyu jamaa yako ujanja huo hana.. Angekua anao wala asingekua anahangaika hapa. Huyu bado anamtaka huyo mwanamke pamoja na yote na hapa tunapoongea inawezekana yeye ndio anamlilia manzi warudiane sema anatuzuga tu kwamba manzi ndio anamtaka..Piga rungu hadi utamu umkolee na ahisi kuwa mko poa kabisa
then unampiga kibuti matata.
Payback.
yeah lipo wazi mkuuKwani mpaka sasa jimbo lipo wazi?..
ye kapoteza wangu lakini ujue.. , gwalo amarosMwambie ukweli tu kwamba humuhitaji , kuliko kumpotezea mda
hahaha si kihivi mkuu though kuna karoho kakumpenda kweli, siyo kwamba sipati ishu lakin.., ishu napata tu...Huyu jamaa yako ujanja huo hana.. Angekua anao wala asingekua anahangaika hapa. Huyu bado anamtaka huyo mwanamke pamoja na yote na hapa tunapoongea inawezekana yeye ndio anamlilia manzi warudiane sema anatuzuga tu kwamba manzi ndio anamtaka..
Ila mkuu mimi huwa dem akisema tu ananiacha, nitamlilia kinoma ila akiniachia tu papuchi naipiga kinoma. Afu tukimaliza mi ndo namuacha [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu jamaa yako ujanja huo hana.. Angekua anao wala asingekua anahangaika hapa. Huyu bado anamtaka huyo mwanamke pamoja na yote na hapa tunapoongea inawezekana yeye ndio anamlilia manzi warudiane sema anatuzuga tu kwamba manzi ndio anamtaka..