Recent content by jjozee

  1. J

    Msaada: Airtel wamegoma kunirudishia pesa zangu

    Airtell ni shida kwenye swala la pesa aisee...nawaogopa balaa nipo radhi mtu anayetaka kunitumia kumpa namba ingine sio airtell
  2. J

    Hivi kuna Validity ya hii Taarifa?

    Kumbuka manji ndani ya mji[emoji2957]isikose amekuja kushuhudia huo uuzaji wa hilo jengo!ana element fln fln na Hilo jengo!time Will tell
  3. J

    Kama Barua yenu kwa Spika Ndugai imeitwa 'Kipeperushi' mkienda kukutana na Rais Samia angalieni tu asiwaite 'Wapuuzi' pia

    Sijui km lipumba alikumbuka kufanya hayo yote wkt anawafurumusha wale wabunge wake,l love u my beautiful Tz[emoji3575]
  4. J

    Naomba ufafanuzi kuhusu CVT Sport

    Wameongea vyema wachangiaji wote pia wanajua magari,hpo shughuli ingearibiwa ingekua mada ya siasa,dooooh wachangiaji utumbo wangejaa balaa ila huku sio kwao[emoji85]
  5. J

    Amechaguliwa kwenda Chuo, napata wakati mgumu

    Amia dodoma uwe karibu na kiburudisho chako!kweli hali ni mby sn,woga nao ni akili
  6. J

    Wanaume kuna ukweli hapa?

    Not lips! Mdomo, size ya mdomo ndo size ya mashine
  7. J

    Jerry Muro: Tusipojirekebisha tutatafuta mchawi bila mafanikio

    Unaandika sna na ww!daah c utunge kitabu tuu uyajumuishe haya yote ulionayo...daah!janja janjaa snaa bwn
  8. J

    TRA waifungia Sahara Media(Star TV, RFA) kwa kudaiwa Kodi ya Sh. Bilioni 4.5

    Jeshi la mtu moko 1...linasaga Na kukoboa,kanyaga twende,halicheki Na nyani coz linajua litavuna mabua,baba tunaitaji kunyooka...piga kaziii!
  9. J

    Jamani Trafiki Wanakera sana!

    Tusahau hii kitu kuja kufanyiwa marekebisho yyt!yaani haka ka jamuhuri ni shidaa!tutakoma!d.s.m mpk mbeya ni km 1000...alaf utembee Na 50km!??cjui dunia gn tunayo kwenda!trafik ni maadui bara barani!
  10. J

    Ushauri: Mwanamke tajiri anataka niache chuo tufanye biashara

    Somaa wee!then ajira utaipata 2019-20!nakushauri usipishane Na helaa!mute chuo kapige hela!wtu wana elimu Na bado bu10 inawaza shida
  11. J

    Bugatti Chiron 1500 HP, Max speed 500 km/h!

    tulikosa kuandaa mashindano ya piki piki ya africa kisa matuta!jamaa waliokuja kukagua bara bara zetu walijiuliza hizi ni bara bara au matuta ya viazi!wakaondoka zao
  12. J

    Team ALTEEZA

    alaf kwenye rally hawaonekani!twendeni arusha,nairobi trh25...tujue nyie ni crzy car kweli
  13. J

    Mjadala: Lowassa vs Mrema, nani zaidi kwenye siasa za upinzani?

    kuna vtu vya kutaniana..sio iv...ovaaaaa
  14. J

    Rais Shein: Mafuta na gesi ni mali ya Zanzibar na si Muungano

    ni km mke nyumbani...au mapenzi ya upande1...so inabidi uoneshe mapenzi dhati jinsi unabompenda..
Back
Top Bottom