Wameongea vyema wachangiaji wote pia wanajua magari,hpo shughuli ingearibiwa ingekua mada ya siasa,dooooh wachangiaji utumbo wangejaa balaa ila huku sio kwao[emoji85]
Tusahau hii kitu kuja kufanyiwa marekebisho yyt!yaani haka ka jamuhuri ni shidaa!tutakoma!d.s.m mpk mbeya ni km 1000...alaf utembee Na 50km!??cjui dunia gn tunayo kwenda!trafik ni maadui bara barani!
tulikosa kuandaa mashindano ya piki piki ya africa kisa matuta!jamaa waliokuja kukagua bara bara zetu walijiuliza hizi ni bara bara au matuta ya viazi!wakaondoka zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.