Bugatti Chiron 1500 HP, Max speed 500 km/h!

Bugatti Chiron 1500 HP, Max speed 500 km/h!

Hakuna barabara ya kurndeshea hiyo speed duniani 250 yenyewe sio rahisi sembuse 500

Angalia kipindi cha top gear utaona izo barabara za kuendesha speed 500
Na iyo unayo sema ata 250 ni ngumu kuendesha umekosea
Mimi mwenyewe kuna wakati naendesha mpaka 300 kph
 
Angalia kipindi cha top gear utaona izo barabara za kuendesha speed 500
Na iyo unayo sema ata 250 ngumu
Mimi mwenyewe kuna wakati naendesha mpaka 300 kph


Una gari gani hiyo inayofikisha 300 km/saa?
 
Mkuu kuna barabara za high way huko dunian....hutakiwi kuendesha chini ya km80/hr....
Yes lakini sio zaidi ya 250 km/h labda uniambie nchi gani ambayo unaweza kuendesha zaidi ya hapo, labda iwe barabara yako mwenyewe........na hata hizo highways sidhani kama ipo one-way zaidi ya 25 km
 
tulikosa kuandaa mashindano ya piki piki ya africa kisa matuta!jamaa waliokuja kukagua bara bara zetu walijiuliza hizi ni bara bara au matuta ya viazi!wakaondoka zao
 
Kuna Magari yatabaki kuwa Prototypes tu.. 1500 HP unaifanyia kazi gani labda.

Huku kwetu spidi 140 tu unaiona gari inayumba na barabara zetu ukisinzia kidogo unajimuta wodini
Matuta unnecessary rasta kabla tuta lazima ukose control dadek yan haiwezekan kwa road zetu atleas mkeka wa kwenda mbeya kuna uimara flani
 
Juz nimepita high way dar-mza kwakwel ile sio barabara ni lami bt mashimo kabisa utadhani road ya vumbi imebonyebonyea hatar sasa sijui ni viwango gani Tanroad wazembe sana
Ndio lami alizokuwa anasifia mkata umeme kila kukicha...
 
Napenda maelezo yako lkn ningekuomba uwe unatumia metric system kama ukiweza, haya mambo ya miles binafsi yananizingua sana!
Nimezoea kutumia miles,yards etc...kph zinaogopesha tu, gari nyingi nilizoendesha zina miles unakuta kisahani kinasoma 160 ila in km ni 260....na gari hii unaendesha 120-130 mph kirahisi tu ila ukifikiria ni 240kph unashtuka.
 
Weka bei yake kabisa na km we ni mtaalamu wa kununua magari nambie nkupe mchuzi unifatie iyo ngoma maana m staki mchezo na vitu vizuri
 
Matuta unnecessary rasta kabla tuta lazima ukose control dadek yan haiwezekan kwa road zetu atleas mkeka wa kwenda mbeya kuna uimara flani
Bora mbeya, au kuna kipande fulani ukiwa unatoka Mwanza kwenda Mara.

Or else barabara zitengenezwe kama zile za UDA-RT
 
QUOTE E="Mpini Wa Chuma, post: 20413630, member: 406973"]Juz nimepita high way dar-mza kwakwel ile sio barabara ni lami bt mashimo kabisa utadhani road ya vumbi imebonyebonyea hatar sasa sijui ni viwango gani Tanroad wazembe sana

Loh! Foreman aliyekuwepo wakati wa matengenezo ya barabara hiyo akikusikia utapata misukosuko sana.[/QUOTE]
Dar - Mza siyo High way! Sifa ya high way ni kwamba kwa uchache iwe na njia 4, mbili za kwenda na mbili za kurudi. Haipaswi kuwa na kona Kali wala mlima mrefu!
Highway yetu ni kama ile ya Dsm-mbezi
 
Back
Top Bottom