Is that's all you can ask?we ulitakaje?
Jana vyombo vyote vya habari vimemwonyesha rais wa Zanzibar akisaini mkataba wa uchimbaji mafuta na gesi huko Zanzibar na akiturushia dongo wabara kwamba tusiyatolee macho kodo hayo mafuta maana hayatuhusu Tanzania bara....
Kwa wataalam wa sheria na wachambuzi hii imekaaje? Je huku bara tukichimba na sisi mafuta na gesi fedha sita kazi katika na si zinakwenda hazina na zinatumika hadi upande wa Zanzibar ? Mbona kama bara tunapunjwa hapa? Ni nani mtetezi wetu maana nimemwona hadi waziri Muhongo anafurahia it means wamekubaliana jambo hilo.
Nahisi hili swala litaleta mgogoro badae maana naona ule mchezo wa " changu changu cha kwako cha wote"
Is that's all you can ask?
Mtu kaja na uzi akitarajia hekima za great thinkers wewe unauliza kifacebook facebook hapa? can't you think a little bit more?
Tanganyika za Zanzibar ziliungana na kuunda serikali 2. Zanzibar wanatumikiwa na serikali yao na serikali ya muungano. Huku bara tunatumukiwa na serikali ya muungano. Hivyo basi yapo mambo ya muungano ambayo bara na visiwani tunayafanya kwa pamoja na yapo ambayo si ya muungano visiwani wanayafanya kivyao.
..inawezekana sasa halimo,Asante, kwahiyo la mafuta na gesi halipo katika muungano ?
Yakipatikana sheria ivunjweMpaka muda ninaoandika, hakuna mafuga Zanzibar. Labda ni makubaliano ya kufanya utafiti.
Mkuu embu mwambie gesi ya Mtwara mbona tumewapa wachina bure wazanzibar hawajatoa machowe ulitakaje?