Msaada: Airtel wamegoma kunirudishia pesa zangu

Msaada: Airtel wamegoma kunirudishia pesa zangu

MHARADALI1000

Senior Member
Joined
Jun 10, 2021
Posts
125
Reaction score
201
Habari zenu wakuu
Nimepatwa na haya matatizo ya kutuma pesa kimakosa
Imetokea nilikuwa natuma pesa kwa mtu 108,000 nikakosea nikatuma 180,000 kupitia AIRTEL -AIRTEL, baada ya kuona nimekosea nikazuia muamala ili pesa irudishwe then nirudie kutuma hela niliotaka kutuma .

Baada ya kuzuia muamala nimewapigia Airtel huduma kwa wateja wakanambia pesa itarudishwa badaa ya masaa 12.

Sasa tangu nimetoa taarifa mpaka leo zimepita siku mbili kila nikiwapigia kutaka kujua wamefikia wapi Kwenye kutatua tatizo langu wananiambia niendelee kusubiri.

Sijui nitaendelea kusubiri mpaka lini Nimejaribu kuwaomba waruhusu muamala umfikie niliekuwa namtumia wanasema nisubiri itarudishwa kwangu
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nifanye nini ili nipate pesa zangu
 
Subiri watarudisha. Kati ya vitu ambavyo huwa sitaki kukutana navyo ni makosa ya utumiaji pesa kwa mifumo ya huduma zetu hapa Tanzania lazima jasho likutoke.

Niliwahi kukosea kutuma laki 6 niliipata ila zilipita siku kama 6.
 
Habari zenu wakuu
Nimepatwa na haya matatizo ya kutuma pesa kimakosa
Imetokea nilikuwa natuma pesa kwa mtu 108,000 nikakosea nikatuma 180,000 kupitia AIRTEL -AIRTEL, baada ya kuona nimekosea nikazuia muamala ili pesa irudishwe then nirudie kutuma hela niliotaka kutuma .

Baada ya kuzuia muamala nimewapigia Airtel huduma kwa wateja wakanambia pesa itarudishwa badaa ya masaa 12.

Sasa tangu nimetoa taarifa mpaka leo zimepita siku mbili kila nikiwapigia kutaka kujua wamefikia wapi Kwenye kutatua tatizo langu wananiambia niendelee kusubiri.

Sijui nitaendelea kusubiri mpaka lini Nimejaribu kuwaomba waruhusu muamala umfikie niliekuwa namtumia wanasema nisubiri itarudishwa kwangu
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nifanye nini ili nipate pesa zangu
Nenda officn kwao kwa ishu kama hiyo
 
Bora ungeacha iende 180 hafu omba urudishiwe 72 na uyo jamaa.

Airtel ni tatizo sana…..kuna siku nilikua nafanya malipo zola kwa kutumia airtel app bahati mbaya nikachagua mobisol badala ya zola na nikaweka akaunti ya zola then nikalipia…..basdae nikaja gundua nimekosea baada ya kuona sipati msg ya token,nikawapigia airtel na kuwaleza wakaniambia watashughurikia,aisee mpaka leo miezi minne au mitano sasa hiyo hela hajarudi!nimepiga simu nikachoka….
 
Mkuu Muamala Wa Airtel 2 Airtel kama umeshazuiliwa unasubiri masaa 6 ya kazi baada ya kutimia unarudishiwa hyo Fedha.
NB; masaa ya kazi yanaanza jumatatu mpaka ijumaa saa 2 asubuhi mpaka 10 jioni
 
Habari zenu wakuu
Nimepatwa na haya matatizo ya kutuma pesa kimakosa
Imetokea nilikuwa natuma pesa kwa mtu 108,000 nikakosea nikatuma 180,000 kupitia AIRTEL -AIRTEL, baada ya kuona nimekosea nikazuia muamala ili pesa irudishwe then nirudie kutuma hela niliotaka kutuma .

Baada ya kuzuia muamala nimewapigia Airtel huduma kwa wateja wakanambia pesa itarudishwa badaa ya masaa 12.

Sasa tangu nimetoa taarifa mpaka leo zimepita siku mbili kila nikiwapigia kutaka kujua wamefikia wapi Kwenye kutatua tatizo langu wananiambia niendelee kusubiri.

Sijui nitaendelea kusubiri mpaka lini Nimejaribu kuwaomba waruhusu muamala umfikie niliekuwa namtumia wanasema nisubiri itarudishwa kwangu
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nifanye nini ili nipate pesa zangu
Pesa itarudi baada ya masaa 72 lingekuwa kosa wangekujibu pesa hawaioni hapo ndio ungekula nao sahani moja.tulia mkuu pesa itarudi tu vuta subira

Sent from my VFD 600 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wakuu
Nimepatwa na haya matatizo ya kutuma pesa kimakosa
Imetokea nilikuwa natuma pesa kwa mtu 108,000 nikakosea nikatuma 180,000 kupitia AIRTEL -AIRTEL, baada ya kuona nimekosea nikazuia muamala ili pesa irudishwe then nirudie kutuma hela niliotaka kutuma .

Baada ya kuzuia muamala nimewapigia Airtel huduma kwa wateja wakanambia pesa itarudishwa badaa ya masaa 12.

Sasa tangu nimetoa taarifa mpaka leo zimepita siku mbili kila nikiwapigia kutaka kujua wamefikia wapi Kwenye kutatua tatizo langu wananiambia niendelee kusubiri.

Sijui nitaendelea kusubiri mpaka lini Nimejaribu kuwaomba waruhusu muamala umfikie niliekuwa namtumia wanasema nisubiri itarudishwa kwangu
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nifanye nini ili nipate pesa zangu
Vodacom kwenye hilo nawapa credit 100%. Voda hawana usumbufu na Uswahili.

Voda nikikosea kutuma pesa nikawajulisha, nina uhakika ndani ya muda mfupi pesa yangu naipata labda huyo mtu awe ameitoa kabla sijatoa taarifa.

Vodacom Tanzania kwa huduma bora mitandao mingine inasubiri.
 
Ni Massa 72 ila kama una haraka zaidi nenda airtel shop upate uhakika na ujiaminishe usalama wa pesa yako kupatikana.
Habari zenu wakuu
Nimepatwa na haya matatizo ya kutuma pesa kimakosa
Imetokea nilikuwa natuma pesa kwa mtu 108,000 nikakosea nikatuma 180,000 kupitia AIRTEL -AIRTEL, baada ya kuona nimekosea nikazuia muamala ili pesa irudishwe then nirudie kutuma hela niliotaka kutuma .

Baada ya kuzuia muamala nimewapigia Airtel huduma kwa wateja wakanambia pesa itarudishwa badaa ya masaa 12.

Sasa tangu nimetoa taarifa mpaka leo zimepita siku mbili kila nikiwapigia kutaka kujua wamefikia wapi Kwenye kutatua tatizo langu wananiambia niendelee kusubiri.

Sijui nitaendelea kusubiri mpaka lini Nimejaribu kuwaomba waruhusu muamala umfikie niliekuwa namtumia wanasema nisubiri itarudishwa kwangu
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nifanye nini ili nipate pesa zangu
 
Subiri watarudisha. Kati ya vitu ambavyo huwa sitaki kukutana navyo ni makosa ya utumiaji pesa kwa mifumo ya huduma zetu hapa Tanzania lazima jasho likutoke.

Niliwahi kukosea kutuma laki 6 niliipata ila zilipita siku kama 6.
Duuuh siku 6 kama hela za biashara utaishije
 
Back
Top Bottom