MHARADALI1000
Senior Member
- Jun 10, 2021
- 125
- 201
Habari zenu wakuu
Nimepatwa na haya matatizo ya kutuma pesa kimakosa
Imetokea nilikuwa natuma pesa kwa mtu 108,000 nikakosea nikatuma 180,000 kupitia AIRTEL -AIRTEL, baada ya kuona nimekosea nikazuia muamala ili pesa irudishwe then nirudie kutuma hela niliotaka kutuma .
Baada ya kuzuia muamala nimewapigia Airtel huduma kwa wateja wakanambia pesa itarudishwa badaa ya masaa 12.
Sasa tangu nimetoa taarifa mpaka leo zimepita siku mbili kila nikiwapigia kutaka kujua wamefikia wapi Kwenye kutatua tatizo langu wananiambia niendelee kusubiri.
Sijui nitaendelea kusubiri mpaka lini Nimejaribu kuwaomba waruhusu muamala umfikie niliekuwa namtumia wanasema nisubiri itarudishwa kwangu
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nifanye nini ili nipate pesa zangu
Nimepatwa na haya matatizo ya kutuma pesa kimakosa
Imetokea nilikuwa natuma pesa kwa mtu 108,000 nikakosea nikatuma 180,000 kupitia AIRTEL -AIRTEL, baada ya kuona nimekosea nikazuia muamala ili pesa irudishwe then nirudie kutuma hela niliotaka kutuma .
Baada ya kuzuia muamala nimewapigia Airtel huduma kwa wateja wakanambia pesa itarudishwa badaa ya masaa 12.
Sasa tangu nimetoa taarifa mpaka leo zimepita siku mbili kila nikiwapigia kutaka kujua wamefikia wapi Kwenye kutatua tatizo langu wananiambia niendelee kusubiri.
Sijui nitaendelea kusubiri mpaka lini Nimejaribu kuwaomba waruhusu muamala umfikie niliekuwa namtumia wanasema nisubiri itarudishwa kwangu
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nifanye nini ili nipate pesa zangu