Recent content by Jipemoyo

  1. Jipemoyo

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    The Boss is always right. If you have a doubt refer to the first principle, that the Boss is always right. Adolph Hitler
  2. Jipemoyo

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Marriage is the only war, whereby enemies sleep together!
  3. Jipemoyo

    Wapi naweza kupata vifungashio Dodoma

    Nenda ofisi za veta Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Jipemoyo

    Siasa za kibaguzi Tanzania hazikuanza leo, ona hawa walivyosahaulishwa makusudi

    Kama alivyosahaulika Mzee Ngosha mchoraji wa Nembo ya Taifa (Ngao ya Bibi na Bwana) Ndivyo alivyosahaulika Dr. Vedasto Kyaruzu mtunzi wa wimbo wa kizalendo wa Tanzania nakupenda kwa moyo wote. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Jipemoyo

    Wanasheria wetu! Tumaini jipya?

    Wanasheria kama maofisa wa mahkama muhimili wa kusikiliza, kutenda na kusimamia haki, wanao wajubu mkubwa kuisaidia jamii yetu kupinga utawala wa kibabe usiojali misingi ya utawala bora na kuzika demokrasia. Tatizo wengi waoga wamejificha kwenye makoti ya suti nyeusi wanazovaa. Wasimwachie T...
  6. Jipemoyo

    Kituo cha kariakoo Msimbazi, kumejaa wananchi hakuna basi inayosimama

    Umekua utamaduni wao, kila nyakati za mchana (saa 6 -9) mabasi yanapita yakiwa wazi hasa vituo vya msimbazi A na B kariakoo. Wahusika waje kwa ufafanuzi
  7. Jipemoyo

    Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa Tanzania?

    Mura, utabaki kua jeusi tu huoni mura. Kisa Mwaioyana chanel10 utakesha paleee.
  8. Jipemoyo

    Tupeane uzoefu jinsi ya kuishi na mwanamke bila kumpiga makonde

    Puuzia usoni zingatia moyoni. Jipemoyo ipo siku atakua unavyotaka wewe
  9. Jipemoyo

    Press ya Roma inaanza saa ngapi?

    Roma karudi anatembea akichechemea kama mtu aliyetailiwa leo, bado mnasema ati alikua aandika script.....!
  10. Jipemoyo

    Je, pana ukweli hapa?

    Dogo anataka elfu 52,000/= akapate kazi ya uangalizi wa marudio ya uchaguzi mkuu zanzibar. Amepokea hii e-mail binafsi sijaelewa ufafanuzi pls??? Mr / Ms On behalf of Representative Organization, I humbly appreciate your intent to join our team in our upcoming project in Zanzibar as Election...
  11. Jipemoyo

    Ajari mbaya eneo la Lugalo, Dar es Salaam

    Mwenye gari namba T351 DDV Subaru Impreza rangi nyeusi amemgonga raia mmoja mwanaume na katimua mbio usiku huu saa 5:22 Alichofanya sio uungwana kwani angesimama na kutoa japo huduma ya kwanza.
  12. Jipemoyo

    Makonda, Jitokeze hadharani utuombe radhi wanasheria

    Ni kweli Makonda kama DC wa kinondoni ana timu ya wanasheria ofisini inayomsaidia kutatua kero za migogoro ya Ardh kwa jamii. Alipotangaza kuwasaidia wakazi wa wilaya yke kwa mwezi mmoja alijikuta anapokea wateja takribani 1,500 kwa mwezi. Kutokana na wingi wa watu wenye kero na migogoro pamoja...
  13. Jipemoyo

    Tanganyika inakuja, tutaifupishaje kwenye maandishi?

    Tanganyika itakuja Nyerere akifufuka kifupi chake itakua Taka
  14. Jipemoyo

    Hizi suruali zina madhara...Ziepukeni vijana.

    Inasikitisha sana kuwa na taifa lenye vijana wasiojitambua na kujithamin. Mavaz ya ajabu yamekua tatizo sana kwa vijana wenye mtazamo wa kusaka utofauti wa muonekano kwenye jamii yetu!
Back
Top Bottom