Recent content by JimmyJay

  1. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Hizi Tuzo alizopewa Gabo Sijazielewa...........

    Point
  2. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka nini enzi zako za Chuo kikuu?

    Pande za UoI Kuna wakati boom la Ada lilipigwa panga kwa baadhi ya students halafu mi ndo mwakilishi wao. Ilikuwa ngumu sana kudeal na hilo suala! Thnk God it wasn't that much worse!
  3. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka nini enzi zako za Chuo kikuu?

    [emoji4] [emoji4] hatari!
  4. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Ipi tofauti kati ya Embassy na High commission?

    Asanteni kwa ufafanuzi, nadhani na mimi nimepata kitu!
  5. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Ni mgeni kwenye Jamii hii.

    Nashukuru kujiunga, nilitamani kwa muda mrefu sana. Now am in
  6. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Siku ya Sheria: No mention of Tundu Lissu!, Je ni amesahaulika tu kutajwa, amepuuzwa au ameepukwa?!.

    Kwa upande wangu, hii ni kweli! Nimeijua TLS baada ya kusikika kuwa yeye ni mmoja wa wagombea wa urais.
  7. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Ambayo husaidia nini?!
  8. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa huyu kijana kozi ya sheria

    Hakuna kitu rahisi, kuna vitu kaanza kufanya akiwa chuo. Vimechukua nafasi kwenye ubongo wake na kumpunguzia uwezo wa kufikiria. Mwambie aache kuvifanya!
  9. JimmyJay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hawa warembo wa chuo ni hatari sana!

    Kwa hiyo, mngekaa pembeni akakukubalia muwe wapenzi ungetoa hiyo 35000?! Nina hakika hiyo relation ingeishia baada ya yeye kupokea tu!
  10. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Timu ya taifa ikifundishwa na wachambuzi, nina imani tutacheza world cup

    Ila kweli, dah!
  11. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Timu ya taifa ikifundishwa na wachambuzi, nina imani tutacheza world cup

    Heading tu imenitabasamisha! [emoji4] [emoji4]
  12. JimmyJay

    JamiiForums Tanzania Warembo wa jf tukutane hapa

    Meseji delivadi![emoji4] [emoji4]
Back
Top Bottom