Ipi tofauti kati ya Embassy na High commission?

bogosho

Senior Member
Jan 5, 2018
151
352
Kama heading inavyojieleza hapo juu ningependa kupata ufahamu juu ya tofauti kati ya Embassy na High commission.
 
Kwa uelewa wangu High commission ni ubalozi lakini kwa nchi za commonwealth zenyewe kwa zenyewe embassy inaitwa High commission [nafikiri unazijua]. Ndiyo maana London ubalozi wetu unaitwa high comission of Tanzania.

Embassy [ubalozi] ni makazi ya (officers) wa nchi fulani wanaoiwakilisha nchi yao katika nchi waliyopo.

Tofauti kubwa ni kwamba kwenye High comission kuna diplomatic functions nyingi kuzidi embassy kama inavyofahamika nchi za Jumuiya ya madola tunashiriki vingi. Wanaojua wataongezea.
 
Mtu kauliza swali mmeanza utani wa kinanii...

Kwa uelewa wangu High commission ni ubalozi lakini kwa nchi za commonwealth zenyewe kwa zenyewe [nafikiri unazijua]. Ndiyo maana London ubalozi wetu unaitwa high comission of Tanzania.

Embassy [ubalozi] ni makazi ya raia wa nchi fulani wanaoiwakilisha nchi yao katika nchi waliyopo.

Tofauti kubwa ni kwamba kwenye High comission kuna diplomatic functions nyingi kuzidi embassy kama inavyofahamika nchi za Jumuiya ya madola tunashiriki vingi. Wanaojua wataongezea.
I doubt kuwa Embassy ni makazi ni makazi ya ofisa ubalozi!

High commission ni office za ubalozi.

Makazi ya balozi huitwa let's say Kenya high commission residents, USA high commission residents nk

Nchi zote zilizowahi kutawaliwa na UK balozi zao zinaitana HIGH COMMISSION, mfano balozi hizi zilizopo hapa Tanzania ni high commission, South African high commission, Kenya, Malawi, Zambia Canada nk.

Embassies ni km Rwanda, Burundi, Denmark, Netherlands usa nk
 
I doubt kuwa Embassy ni makazi ni makazi ya ofisa ubalozi!

High commission ni office za ubalozi.

Makazi ya balozi huitwa let's say Kenya high commission residents, USA high commission residents nk

Nchi zote zilizowahi kutawaliwa na UK balozi zao zinaitana HIGH COMMISSION, mfano balozi hizi zilizopo hapa Tanzania ni high commission, South African high commission, Kenya, Malawi, Zambia Canada nk.

Embassies ni km Rwanda, Burundi, Denmark, Netherlands usa nk

Yeah hapo nimechemka kuita makazi bila kuweka officers maana kuna foreigners wana makazi yao nchi za watu.

mengine tupo pamoja.
 
Mtu kauliza swali mmeanza utani wa kinanii...

Kwa uelewa wangu High commission ni ubalozi lakini kwa nchi za commonwealth zenyewe kwa zenyewe embassy inaitwa High commission [nafikiri unazijua]. Ndiyo maana London ubalozi wetu unaitwa high comission of Tanzania.

Embassy [ubalozi] ni makazi ya (officers) wa nchi fulani wanaoiwakilisha nchi yao katika nchi waliyopo.

Tofauti kubwa ni kwamba kwenye High comission kuna diplomatic functions nyingi kuzidi embassy kama inavyofahamika nchi za Jumuiya ya madola tunashiriki vingi. Wanaojua wataongezea.
Na United Nation High Commission for Refugees imekaaje?
 
Embassies are diplomatic missions sent to non-Commonwealth countries, while High Commissions are diplomatic missions sent to Commonwealth countries.

Mtoa mada jifunze kutumia google.
 
Na United Nation High Commission for Refugees imekaaje?
Language na maana zake zinaenda na context mkuu... hiyo commission kupewa mamlaka ya kufanya jambo.

Tanzania pia kuna commission nyingi... kamishna wa madini..kamishna wa TRA...

Hao wamepewa mamlaka na UN.
 
Embassy sigareti high commission whatever ni kamisheni ya juu sana. I stand to be corrected.
 
Back
Top Bottom