simba wa dodoma
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 925
- 1,010
Habari za wakati huu ndugu zangu, nina imani mpo salama pitia kichwa cha hapo juu hivi tunasubiria nini kumkabidhi MWL Kashasha kupewa timu ya taifa akafundisha, huyu jamaa ukimfatilia akiwa anachambua mpira hakuna asiko kijua hasa lugha ya kimpira
kocha wa makipa akipewa edo kumwembe nadhani makipa wa taifa stars watakua bora kama akina Buffon, Casilasi, Peter Schmechel na Dida.
Benchi la ufundi awepo Alex Lwambano na Shafii wazee historia wanaousoma mpira wa wapinzani kabla hujaanza, tukiingia ni ushindi maana jamaa wanajua historia ya mpira tofauti na historia ya Kinjikile Ngwale.
Kamati ya ushindi apewe Maulid Kitenge, Maestro, Oscar, Amri Masale na Mbwiga. Kwa hii safu nakwambia hata Taifa stars tucheze na malaika tunashinda. I tell u my friends tutaogopewa duniani.
kocha wa makipa akipewa edo kumwembe nadhani makipa wa taifa stars watakua bora kama akina Buffon, Casilasi, Peter Schmechel na Dida.
Benchi la ufundi awepo Alex Lwambano na Shafii wazee historia wanaousoma mpira wa wapinzani kabla hujaanza, tukiingia ni ushindi maana jamaa wanajua historia ya mpira tofauti na historia ya Kinjikile Ngwale.
Kamati ya ushindi apewe Maulid Kitenge, Maestro, Oscar, Amri Masale na Mbwiga. Kwa hii safu nakwambia hata Taifa stars tucheze na malaika tunashinda. I tell u my friends tutaogopewa duniani.