Jeshi la Polisi nchini hata kama lina mapungufu yake lazima liheshimiwe. Haiwezekani mtu mimi namuita mhuni kuanza kujibizana hadharani na Askari Polisi kwa kumporomoshea matusi askari anayetekeleza wajibu wake kwa vile tu yeye ni mwanachama wa chama tawala.
Nategemea huyo kijana anayesikika kumdhalilisha askari kama bado hajakamatwa jeshi limtafute na kumfikisha kwenye vyombo husika ili kulinda heshima ya jeshi.
Iwapo polisi kwa kitendo kile itakaa kimya kuna hatari siku moja vijana wa Chama Cha Mapinduzi kwa kiburi cha kulindwa na dola, watajichukulia sheria mkononi na kumnyang'anya polisi silaha kitendo ambacho kinaweza kuhatarisha usalama wa raia wasiohusika.
Kula like za kutoshaThubutu ,ukiwa chavi wewe ni zaidi ya Inspector general of njagu.
Wewe unaongelea tukio, mimi naongelea mfumo.Huyo anayejibizana na polisi umemuona ktk hiyo video?
Au unakomalia ushabiki tu humu,mnaleta mambo ya video za kupika humu?
JF umeijua juzi tu najifanya mjuvi zaidi ya uliowakuta.Sana 78% waandishi wa chadema kwenye mitandao ni watoto siyo ht vijana
Wale waliotumwa na marehemu Masaburi?Mmeshashikia bango tayari, matusi ya sugubkwa rais sawa ya huyu kwa polisi siyo sawa
Pelekeni UN hiyo video msaidiwe kuipigia promo labda mtaambulia kura.
Hivyo ni vitu minor sana kwa siasa za sasahivi kiki hazina nafasi kapigeni kampeni acheni kulialia.
Ninachoamini kabisa hao ni wanachama wa cdm wamejigeuza ccm kulinda mabango ya ccm na kutukana ili kuichafua ccm ndiyo maana unashikia sana bango kwakuwa unajua kinachoendelea hapo,huo ni ujanja wa kizamani.
Nakukumhusha maandamano fulani hivi ya cdm kujibadili kuwa ccm na walipokamatwa wakakutwa na kadi na bendera za cdm.
Kula kichapo na kusema wametumwa ndiyo ilikuja tokea
Nakurudisha
mwisho wakufikiria kwako ndiyo maana ni utumbo tu umeandika hapa.Mmeshashikia bango tayari, matusi ya sugubkwa rais sawa ya huyu kwa polisi siyo sawa
Pelekeni UN hiyo video msaidiwe kuipigia promo labda mtaambulia kura.
Hivyo ni vitu minor sana kwa siasa za sasahivi kiki hazina nafasi kapigeni kampeni acheni kulialia.
Ninachoamini kabisa hao ni wanachama wa cdm wamejigeuza ccm kulinda mabango ya ccm na kutukana ili kuichafua ccm ndiyo maana unashikia sana bango kwakuwa unajua kinachoendelea hapo,huo ni ujanja wa kizamani.
Nakukumhusha maandamano fulani hivi ya cdm kujibadili kuwa ccm na walipokamatwa wakakutwa na kadi na bendera za cdm.
Kula kichapo na kusema wametumwa ndiyo ilikuja tokea
Nakurudisha
Inakusaidia nini katika maisha yako? Yaani hiyo ndiyo shida yako kwa sasa!Jeshi la Polisi nchini hata kama lina mapungufu yake lazima liheshimiwe. Haiwezekani mtu mimi namuita mhuni kuanza kujibizana hadharani na Askari Polisi kwa kumporomoshea matusi askari anayetekeleza wajibu wake kwa vile tu yeye ni mwanachama wa chama tawala.
Nategemea huyo kijana anayesikika kumdhalilisha askari kama bado hajakamatwa jeshi limtafute na kumfikisha kwenye vyombo husika ili kulinda heshima ya jeshi.
Iwapo polisi kwa kitendo kile itakaa kimya kuna hatari siku moja vijana wa Chama Cha Mapinduzi kwa kiburi cha kulindwa na dola, watajichukulia sheria mkononi na kumnyang'anya polisi silaha kitendo ambacho kinaweza kuhatarisha usalama wa raia wasiohusika.
Hao ni wale walinzi wa china security kwenye mradi wa UDART au police tanzania?
Ukijibiwa nitag na Mimi mkuu!!!!Hao ni wale walinzi wa china security kwenye mradi wa UDART au police tanzania?
Jeshi la Polisi nchini hata kama lina mapungufu yake lazima liheshimiwe. Haiwezekani mtu mimi namuita mhuni kuanza kujibizana hadharani na Askari Polisi kwa kumporomoshea matusi askari anayetekeleza wajibu wake kwa vile tu yeye ni mwanachama wa chama tawala.
Nategemea huyo kijana anayesikika kumdhalilisha askari kama bado hajakamatwa jeshi limtafute na kumfikisha kwenye vyombo husika ili kulinda heshima ya jeshi.
Iwapo polisi kwa kitendo kile itakaa kimya kuna hatari siku moja vijana wa Chama Cha Mapinduzi kwa kiburi cha kulindwa na dola, watajichukulia sheria mkononi na kumnyang'anya polisi silaha kitendo ambacho kinaweza kuhatarisha usalama wa raia wasiohusika.
Kwa kweliWana ccm wakitukanana shika jembe ukalime
Polisi n kitengo cha ccm