Msaada kwa huyu kijana kozi ya sheria

Msaada kwa huyu kijana kozi ya sheria

kombaME

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
2,115
Reaction score
2,820
Nina mdogo wangu anasomea sheria UDSM, yupo mwaka wa 2, of course tangu akiwa Advance alikuwa anapenda sana kusomea sheria. Sasa tatizo limekuja hivi karibuni anadai msuli wa sheria unataka kumuua. Anadai ni hatari sana, yupo tayari aanze hata first year nursing diploma ila anadai shughuli ya kusomea sheria ni balaa sana.

Nilidhani labda amedisco so ananizuga but nimewasiliana na chuo wala hajadisco.

Hebu niambieni jamani mliosomea hii sheria ni kweli ngumu kiasi hicho?? Na nimshauri vipi ili aendelee na shule??
 
Hakuna kitu rahisi, kuna vitu kaanza kufanya akiwa chuo. Vimechukua nafasi kwenye ubongo wake na kumpunguzia uwezo wa kufikiria. Mwambie aache kuvifanya!
 
Kama sheria anaipenda kutoka damuni haitamsumbua...awe mfatiliaji wa mambo aache vikundi vibovu vinavyowaza mpira.. miziki... Atafute watu wazima awe nao benet
 
Back
Top Bottom