Recent content by Jimaz

  1. J

    Dawa na ushauri wa tatizo hili wakuu

    Polesana ila maradhi yoyote usichukulie mzaha madhara yake yanaweza kuwa makubwa nakushauri kamuone specilist wa magonjwa ya ngozi sijui uko wapi lakini kama ungekuwa DSM ningekupa contact za Dr Mboneko ni Dr mzuri wa ngozi
  2. J

    Honest and humble man needed

    Mimi msamaha ninatafsiri kama kumsahe mtu na kumuachilia moyoni kama mie mwanzo nilikuwa namchukia ilembaya kwa mambo anayofanya lakini badae nikamsamehe na kuanza kumuombea na kumuhurumia kuwa hajui atendalo na pia kutonipenda na kutoniheshimu isiwe sababu ya kumchukia labda moyo wake...
  3. J

    Honest and humble man needed

    Hahaha I love JF jamani kuna watu wako smart humu ndani duh nikweli nilimefanya kila njia nimesali sana nikaamua nimsamehe na nikamuomba tukae chini tuyaongee ili tutengeneze ya yeye aniambie yanayo muuzi niyaache na mie nimwambie yanayoniuzi ayaache ila imeshindikana ni kweli anaomba msamaha...
  4. J

    Honest and humble man needed

    Asanteni Ninawatoto 3, wakike 1 wanaume wawili wote ni wababa mmoja
  5. J

    Honest and humble man needed

    Habari zenu, Maisha ni safari ndefu sana na inamilima na mabonde. Kwa upande wangu mimi ni mwamamke umri miaka 43 nina watoto. Katika maisha haya nimepitia mambo mengi sana na nimejifunza mengi mno ila nimegundua hakuna kitu kizuri na kitamu kama kuishi maisha huru ya amani na upendo. Yani...
  6. J

    Umewahi Kukaa sehemu ukawa Unapiga Story na Mungu? Fanya hivyo kwa njia hii.

    Guru Master asante sana umeongea mambo mazuri sana ya kutukumbusha mamlaka na nguvu tulizo nazo wanadamu ila shetani ni mmbaya sana hapendi tujue mambo kama hayo maana yanatuongezea confidence na kutusogeza mbele za Mungu. Kuongea na Mungu inawezekana kabisa ila kwa kufuata kanuni hizi...
  7. J

    Ijue Historia ya Kabila la Wapare

    Big up hii imetilia ukweli mtupu asante kwa kutukumbusha
  8. J

    Kuhamia Dodoma kulivyovuruga ndoa yangu hadi najuta sasa

    Shida nyingine ni shule za watoto wetu yani hata ukisema uhame na watoto wako shule pia hakuna! Jamani hii serikali ni shida
  9. J

    Neno lolote kwa ex wako

    I wish i could turn the clock back....
  10. J

    Mwanaume mlevi hawezi kumfikisha mwanamke kileleni

    Wanaume walevi ni tatizo maana akipanda dk 5 nyingi kamaliza unabaki na ny.... zako wala hajali kesho kutwa tena akuacha njiani yani ni balaa unambembeleza punguza pombe zinamaliza nguvu mtu hajali hivi mnafikiri mmeoa mallaika Gabriel? Mmnatutia sana majaribuni nyinyi wanaume
  11. J

    Siamini katika nafasi ya pili kwenye mahusiano

    Inategemea aisee mimi i believe in second chance na imework for me ,kwetu sisi tena ndo imeimarisha mapenzi na kuthamini mno penzi letu maana tulisambaratika kila mmoja akaenda njia yake lakini tukashindwa kusahauliana yani kila mmoja akawa anammisi mwenzie lakini unarudije baada ya muda kupita...
  12. J

    Makosa ya mwanaume yanayosababisha mke amsaliti

    Wanaume mtagongewa sana tu hivi mnafikiria wanawake ni watumwa sio? Yani wao hawahitaji kuwa na furaha mnapendwa lakini mnajifanya wajeuri mnaonywa mnajifanya viburi wake zenu mnafikiri wao ni mawe hawana hisia, mwanamke anajipendekeza wee lakini hata hushtuki wala hujali ukiondoka asubuhi...
  13. J

    Nani anayekagua na kudhibiti ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG)?

    Yes ofisi ya CAG inakaguliwa Na wakaguzi wanaochaguliwa Na vikao vya PAC( Public Authority Committee)
  14. J

    Sina Hamu Ya Tendo La Ndoa.

    Unahitaji msaada wa kitaalam zaidi wasiliana na washauri nasaha, kuna mtu anaitwa Chris Mauki he is good mtafute kupitia fb
Back
Top Bottom