Soni sehemu gani pale?Mama yangu ni Mpare ila bibi kaniambia walitokea Soni Lushoto.
Duu toka wapi?copy and paste
Binafsi nimeipenda sana hiiBig up hii imetilia ukweli mtupu asante kwa kutukumbusha
Nasikia hawa jamaa wanapenda kesi balaa ni kweli???
Umenikumbusha Soni. Nilishafika pale kipindi Fulani.Mama yangu ni Mpare ila bibi kaniambia walitokea Soni Lushoto.
Kama mimi mkuu,wapare wananichanganya akili sana na ni waaminifu sana,nitamkumbuka milele yule mtoto wa kipare japo tuliachana!Imekaa powa sana, sema ipo nyingine humu. Sema mwenzeni natokea kuwapenda sana mabint wa kipare, only relation nilizo wai kuenjoy mbaka kumoyo mabinti wa kipare aseee. Binti Meeda wa Usangi na mwigine Bintii Kanywepe aliyetokea Lushoto, those two walipumbaza my moyooo.
hahahahaahahNasikia hawa jamaa wanapenda kesi balaa ni kweli???
Imekaa powa sana, sema ipo nyingine humu. Sema mwenzeni natokea kuwapenda sana mabint wa kipare, only relation nilizo wai kuenjoy mbaka kumoyo mabinti wa kipare aseee. Binti Meeda wa Usangi na mwigine Bintii Kanywepe aliyetokea Lushoto, those two walipumbaza my moyooo.
haaaalooooo!!!Kama mimi mkuu,wapare wananichanganya akili sana na ni waaminifu sana,nitamkumbuka milele yule mtoto wa kipare japo tuliachana!
99%Nasikia hawa jamaa wanapenda kesi balaa ni kweli???