Recent content by Jickson Nkulikwa

  1. J

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    Dogo nitafute uko wapi? 0757658783
  2. J

    Simba ubingwa wa point za rushwa haunogi chezeni mpira

    Kama ninyi mnajua zaidi,basi katoeni ushahidi,Povu la Nini? Hizi zama za uwazi,Hakuna bao la mkono tena...hivi mungekuwa ninyi mngekubali na ubishi wenu...YANGA? Acheni sinema zenu...Haki itendeke.
  3. J

    Wachezaji wetu wa Simba

    Naomba sana,Wachezaji wa Simba na viongozi mtuunge mkono ktk group letu la what's up la Umoja wetu ni ushindi wetu la mashabiki wa Simba kili baadhi ya mambo yawe yanatufikia na kuwafikia,lengo letu ni kuboresha Timu yetu kila mwaka,group letu ni la kudumu ,na tuko wengi,ni ruksa shabiki na...
  4. J

    TUCTA hivi mlisema siku kumi na NNE au miaka 14

    Mtasubiri sana,mbona hamkuomba asilimia za mkopo zipungue,mlifurahi kula bata miaka 03,hebu kaeni kimya ,sindano iwaingie....hivyo vipimo kwanza,bado matibabu mtachomwa sindano mpaka 2020.
  5. J

    Kuwashwa kwa chuchu mwanamke

    Nawasubiri wataalamu
  6. J

    Kuwashwa kwa chuchu mwanamke

    Nimeulizwa swali hili,kuwashwa kwa chuchu na mwili kusisimka kwa mwanamke ni mimba au hamu tu?
  7. J

    Kadi tatu za njano alizopata Fakhi mchezaji wa Kagera sugar hizi hapa

    Ni kweli point 3, wamepewa simba? Tff hawajatenda haki kama kweli,hebu tujuzane Mimi nimekosa raha!
  8. J

    Wanawake mnakaa uchi kwa makusudi au bahati mbaya?

    Si waambie unawaogopa au VP? Inaonekana unafurahia movie!!
  9. J

    Mzee Lowassa kimya hicho kinaashiria nini?

    Mzee huyu kawa kimya mno kwa nini? Miezi kadhaa kila lililopita alihoji lakini kwa sasa yuko kimya kama Dr.Wa upasuaji,kimya hiki ni underground movement au nini? Hata kama ni mikakati sasa imezidi sana,Kwa uelewa Wangu ni kwamba kakubali utendaji,kama so kweli ajitokeze,kujibu mashambulizi.au...
  10. J

    Wema umeumbwaje?

    Haina maana sijasoma,lahasha,naomba msaada
  11. J

    Nilionya Juu ya Wahadhiri kupewa kazi kubwa kama Ukatibu mkuu

    We to a povu,achana na wanasiasa Fanya kazi!
Back
Top Bottom