Kama ninyi mnajua zaidi,basi katoeni ushahidi,Povu la Nini? Hizi zama za uwazi,Hakuna bao la mkono tena...hivi mungekuwa ninyi mngekubali na ubishi wenu...YANGA? Acheni sinema zenu...Haki itendeke.
Naomba sana,Wachezaji wa Simba na viongozi mtuunge mkono ktk group letu la what's up la Umoja wetu ni ushindi wetu la mashabiki wa Simba kili baadhi ya mambo yawe yanatufikia na kuwafikia,lengo letu ni kuboresha Timu yetu kila mwaka,group letu ni la kudumu ,na tuko wengi,ni ruksa shabiki na...
Mtasubiri sana,mbona hamkuomba asilimia za mkopo zipungue,mlifurahi kula bata miaka 03,hebu kaeni kimya ,sindano iwaingie....hivyo vipimo kwanza,bado matibabu mtachomwa sindano mpaka 2020.
Mzee huyu kawa kimya mno kwa nini? Miezi kadhaa kila lililopita alihoji lakini kwa sasa yuko kimya kama Dr.Wa upasuaji,kimya hiki ni underground movement au nini? Hata kama ni mikakati sasa imezidi sana,Kwa uelewa Wangu ni kwamba kakubali utendaji,kama so kweli ajitokeze,kujibu mashambulizi.au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.