Mimi ni kijana nina miaka 19 natafuta kazi yoyote ata ya houseboy popote ata kama ni mikoa ninmemaliza form 4 mwaka jana kwa mawasiliano 0755995231 niko tayari siku yoyote
100% uko sahihi.Dogo ongeza Umakini, ukitaka kukutana na Yeyote hakikisha Watu wa Familia yako wana taarifa. Watu mbalimbali watatoa Namba zao uwatafute.
Binadamu Mwema na Mbaya hawatofautiani kwa namba ya simu, Elimu, Kipato, jinsia,Umbo, sauti, sura , dini wala Kabila Bali Roho ambayo sio rahisi kutambua kwa haraka na Muda mfupi!
NmekupataDogo ongeza Umakini, ukitaka kukutana na Yeyote hakikisha Watu wa Familia yako wana taarifa. Watu mbalimbali watatoa Namba zao uwatafute.
Binadamu Mwema na Mbaya hawatofautiani kwa namba ya simu, Elimu, Kipato, jinsia,Umbo, sauti, sura , dini wala Kabila Bali Roho ambayo sio rahisi kutambua kwa haraka na Muda mfupi!