Recent content by jian

  1. jian

    Kuripoti kazini benki: Je, naripoti kwenye kanda husika uliyoombea na ulifanyia usahili au HQ?

    Tarehe imetajwa mkuu, ni mimi nadhani sikuwapata vizuri kama nirudi kanda au la. Au inabidi nireport tawi husika?, kama ni tawi sijaambiwa chochote kuhusu tawi
  2. jian

    Kuripoti kazini benki: Je, naripoti kwenye kanda husika uliyoombea na ulifanyia usahili au HQ?

    Wakuu hivi kama ulifanya usaili wa benki katika kanda fulani, na umepigiwa kutoka HQ ya hiyo bank umefaulu usaili na unaambiwa ureport tarehe fulani. Hapa unareport kwenye kanda husika uliyoombea na ulifanyia usahili au HQ? MSAADA PLZ.
  3. jian

    Nawezaje pata nguo za jumla?

    uko sehemu gani?
  4. jian

    Mshiriki wa Kampuni ya TEHAMA Iringa Mjini

    Habari wakuu, Natumai mko poa, natafuta kijana mmoja aliyepo Iringa mjini mwenye uwezo mzuri na uzoefu wa kutengeneza Software awe aliyehitimu Shahada ya IT au related programs ili awe mshiriki wangu tufungue kampuni ya IT hapa Iringa Mjni. Kwa info zaidi nicheki PM. Asante!!
  5. jian

    Msaada wa kupata eneo zuri la biashara ya uwakala wa benki Iringa Mjini

    Habari zenu wakuu, msaada wa eneo zuri kwa ajili ya kufanya biashara ya uwakala wa benki kwa hapa Iringa Mjini. Kama wanaoufahamu mji vizuri ni wapi naweza pata eneo na pakavutia hii biashara. Asante. PM iko wazi pia!!
  6. jian

    Mshahara mwezi huu umewahi sana

    Ni kweli.
  7. jian

    Mshahara mwezi huu umewahi sana

    Yap teali toka jana
  8. jian

    Mshahara mwezi huu umewahi sana

    Nimeona [emoji91][emoji91]
  9. jian

    Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona

    Covid is ReAL, Serikali itangaze ili Wananchi wasipuuze. Kama kuna hatua zakuchuliwa kitaifa zitangazwe pia.
  10. jian

    Kuna mdada nimempa mimba alafu maisha yangu hayaeleweki. Nifanye nini?

    [emoji1][emoji1] pole sana mzee, huna namna zaidi ya kulea
Back
Top Bottom