Tarehe imetajwa mkuu, ni mimi nadhani sikuwapata vizuri kama nirudi kanda au la. Au inabidi nireport tawi husika?, kama ni tawi sijaambiwa chochote kuhusu tawiItakua ni ajabu na hawajielewi kama wamekuita na hawajakupa maelezo ya kua ukaripoti wapi , na lini pia.
Tulishajua kuwa mwanetu sio mwezetu tena, kitengo cha mpunga sio mchezoWakuu hivi kama ulifanya usaili wa benki katika kanda fulani, na umepigiwa kutoka HQ ya hiyo bank umefaulu usaili na unaambiwa ureport tarehe fulani.
Hapa unareport kwenye kanda husika uliyoombea na ulifanyia usahili au HQ?
MSAADA PLZ.
Mwanetu kashapiga bingoTulishajua kuwa mwanetu sio mwezetu tena, kitengo cha mpunga sio mchezo
Najua hayo mengineyo ni porojo tu, ulitaka tujue wewe sio mwezetu
Nayeyuka kitahilatahila
Piga simu uulizeWakuu hivi kama ulifanya usaili wa benki katika kanda fulani, na umepigiwa kutoka HQ ya hiyo bank umefaulu usaili na unaambiwa ureport tarehe fulani.
Hapa unareport kwenye kanda husika uliyoombea na ulifanyia usahili au HQ?
MSAADA PLZ.
Nini usichoelewa?Tarehe imetajwa mkuu, ni mimi nadhani sikuwapata vizuri kama nirudi kanda au la. Au inabidi nireport tawi husika?, kama ni tawi sijaambiwa chochote kuhusu tawi
Una report kwa HRWakuu hivi kama ulifanya usaili wa benki katika kanda fulani, na umepigiwa kutoka HQ ya hiyo bank umefaulu usaili na unaambiwa ureport tarehe fulani.
Hapa unareport kwenye kanda husika uliyoombea na ulifanyia usahili au HQ?
MSAADA PLZ.
Kazi kweli kweli au ni benki za wahindiWapigie simu upate maelezo ya kutosha na usiwe muoga kuuliza key Information vijana wa siku hizi umesoma lakini muoga,pata maelezo ya kutosha,means wamekuita kazini bila hata kupewa mkataba au offer,Sasa ukienda kweli hicho kituo Cha kazi watakutambua vipi hata introduction letter haujapewa,