Recent content by jeviounipers

  1. jeviounipers

    Nina Masters nataka kufanya PHD

    Kama umesoma vyuo ambavyo vipo accredited PhD utapata. PhD watakuomba vyeti vya degree na masters tu kwa experience yangu ya kuishi huku nje ila sijajua kwa Tanzania. Pia uwe na research proposal yenye akili, sio ya ubabaishaji. Shida utakayopata hapo ni ufadhili kwa mujibu wa GPA zako itakua...
  2. jeviounipers

    Gwajima: Kutakuwa na Ugeni wa mzee kutoka kijiji cha KOROMIJE

    Kwanini huyo Bashite asi apologize yaishe? Yeye analeta kiburi wkati mwenzake jeuri
  3. jeviounipers

    Ushauri kwa Mange Kimambi

    We nae nyege zinakusumbua, kazi yake we inakuhusu nini, umeambiwa na yeye ni RC? Na unajuaje hana kazi na wewe hauishi Marekani?
  4. jeviounipers

    Rais Magufuli azidiwa umaarufu na Mh.Tundu Lissu

    Acha ku post kama mtoto wa darasa la kwanza....logic yako ni nini hapo, mbona povu
  5. jeviounipers

    Mbunge Mlinga: Vita ya madawa imeibuka tuu ila Makonda ana yake binafsi

    Akale wapi? central? hivi mtu akupe video for free, halafu uchukie matangazo? mabongo mmerogwa,? hivi hujui yeye analipwa kwa hayo matangazo? anzisha channel yako basi, uwe unajitafutia videos mwenyewe zisizo na matangazo. Na kinachokukera haswa ni nini wakati unaweza uka click video ianzie wapi...
  6. jeviounipers

    Kauli ya Freeman Mbowe kufuatia kutoweka kwa Msaidizi wake, Ben Saanane

    Mh. Mbowe kayasema haya leo mara baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu wa kanda ya Nyasa katika ukumbi wa Igimbi mkoani Mbeya. Mwandishi: Nini kauli yako juu ya kupotea kwa msaidizi wako Ben Saanane? Mh. Mbowe: Mambo mengine yanapokua katika masuala ya kiuchunguzi sio kila jambo...
  7. jeviounipers

    Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu tuhuma za kughushi vyeti vya taaluma, kuiba jina

    anajikanyaga kanyaga tu hata haeleweki, haya maelezo yako very questionable to be fair.
  8. jeviounipers

    Waziri wa viwanda: Serikali kuanzisha kiwanda cha magari

    Waanze ni viwanda vya 'toothpick' kwanza.
  9. jeviounipers

    Ikulu ifafanue: Safari za nje zilizofadhiliwa kwa kila gharama nazo marufuku?

    Samahanini wakuu kwa ku resurrect the old thread, mimi nimeomba annual leave ya 28 days ambayo kila mtu yuko entitled kila mwaka. Familia yangu (wife na dogo) wako ughaibuni. Hii imekaaje? kuna haja ya kibali hapa?
  10. jeviounipers

    Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    Kauli ya Prof. Kitila Mkumbo:- Utafiti ulifanyika kabla ya vyama vyote kutangaza wagombea!! Kabla ya Ilani kuzinduliwa! Kabla ya kampeni kuanza kufanyika!! Sasa unapomuuliza mtu atamchagua nani wakati hata wagombea wengine hawajui unategemea nini? Au ulikuwa ni utafiti kati ya Magufuli na...
  11. jeviounipers

    Simba inapodanganya Watanzania

    Mkuu nimekukubali , umetisha sana au...!
  12. jeviounipers

    Humu JF kuna waliosoma kwenye African Virtual University mambo ya ICT ?

    Mimi nimesoma African Virtual University, bt it is no longer because it was a collaboration contract btn university of dar es salaam and RMIT University of Australia. Haipo tena ila product zake usipime. Sio kama za ki-tz univ
Back
Top Bottom