Recent content by Jet fighter18

  1. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Mimi Mwalimu wa Chemistry, natafuta kazi

    Mimi ni Mwl wa Chemistry na biology O level natafuta kazi. Nina uzoefu wa miaka 15 kazini. Nipo Dar es Salaam. Contact: 0764 727890
  2. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Wadau naulizia in wapi naweza pata mbegu kubwa na nzuri ya nguruwe. Me nipo Dar es.salaaam.
  3. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Niunge mkuu 0625628426
  4. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Rais Mstaafu Kikwete aonesha mifugo anayofuga kijijini Msoga, Chalinze

    safi sana rais mstaafu.
  5. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania DAS Asenga alitangaza ziwa 'Chala' Rombo

    Nakumbuka wakati nasoma kilboys tulisanya ziara na mwalimu Kimario ni pazuri sana.
  6. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima: Asante Rais kwa kumtumbua Prof. Muhongo.

    Mchungaji gwajima ni MTU muhimu sana katika jamiii ya kitanzania .anawaamsha watu wajue nini kinaendelea nchini.
  7. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Nyalandu acha siasa katika misiba

    Watanzania baadhi Yetu hatuna moyo wa huruma Naaamini kwa MTU mwenye utu ameona na kudhamini kazi ya mh Nyalandu .Kaka yangu Nyalandu usisikilize wajinga na wapumbavu kazi uliyoifanya ni kubwa mno na ya kuiga .Mungu atakulipa kwa mema yote uliyoyafanya. Thanks. A lot brother........
  8. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    Faida utapata
  9. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kunenepesha ng'ombe kuuza

    Hii biashara in nzuri sana kama MTU atakuwa anaifanya serious. Kenya yupo baba ananebepesha ngombe 400kwa mwaka. Kwa nini Tanzania tunashindwa? Wenzetu wakenya wapo mbali sana .MTU mmoja anamiliki ngombe wa maziwa 200 kwa siku anakamua mpaka Lita 1500 .we have to think outside the box.
  10. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

    Mhhhhh yangu macho
  11. Jet fighter18

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kisumu City gallery, Kenya's 3rd city

    Duuu Kisumu inatisha. Mko juu Sana.
  12. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Ridhuani Mringo: Another billionaire entrepreneur to watch!

    Mwandishi aandike Habari yenye mtiririko mzuri
  13. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa vijana: Maghembe Jr Vs Malecela Jr ( aka Le mutuz)

    Maghembe safi Sana.
  14. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Uteuzi wa Kitila: Zitto asema Rais ameamua kuunganisha nchi kwa kufanya kazi na watu wote

    Acheni siasa tumpe ushirikiano mh.rais na wateule wake. Nchi Hii iende mbele.
  15. Jet fighter18

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo amshukuru Magufuli kwa kumteua

    Rais magufuli amedhihirisha ule usemi wake kwamba maendeleo hayana chama. Naamini Rais magufuli Amefanyaje tathimini kubwa Sana kwa prof kitila. Naamini wizara aliyopewa ni muhimu Sana ana kwa ustawi WA taifa letu. Tunasubiria kwa hamu sana mapinduzi ya Kilimo cha umwagiliaji hapa...
Back
Top Bottom