Tearish
Member
- Feb 23, 2013
- 81
- 30
Hata mafuta ya taa pia ni mazuri,mimi huww natumia hayo na tatizo linaisha pia.Wapake mafta ya nazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mafuta ya taa pia ni mazuri,mimi huww natumia hayo na tatizo linaisha pia.Wapake mafta ya nazi
NAFUGA PAKA JIKE ILA NATAKA ASIZAE JE NI FANYAJE?
Habari mtaalamu, ebhana mm nna changamoto ya kupata maziwa kwa ngombe wangu. Niwape lishe gani waongeze maziwa
kuku wangu wamezidiwa na mafua na kikohozi mpaka imepelekea kifo cha kuku wanne aina ya saso mpaka sasa,niliwapatia tylodox nkiwa na mix na eggbooster ila sikufanikiwa kutibu chochote zaidi ya tatizo kuzidi,na saivi nimeshauriwa kuwapa otc 50%,cjui itanifaa kwa wale mlio wataalam naombeni msaada wenu please kuku wangi wana miezi 6 saivi,wananitian stress kwa kweli
Wadau naulizia in wapi naweza pata mbegu kubwa na nzuri ya nguruwe. Me nipo Dar es.salaaam.
doctor tunakuomba kwenye group letu la ufugaji kuku Ufugaji wa kuku
Mkuu kwa case yako kuku kutoa choo cheupe kilichochanganya na kijani ni mwanzo mwa dalili ya homa ya matumbo kwa kuku (fowl typhoid) ama kipindupindu cha kuku (fowl cholera) hivyo basi ningekushauri umtenge huyo kuku mgonjwa na umwanzishie dose ya ESB3 kwa siku tatu changanya vijiko vinne vya chai kwa maji ya lita 20 mpe anywe.....
Na pia ningependa uwaanzishie dose kuku waliosalia kwa kuwapa pia Esb3 iwe kama prophylaxis dhidi ya ugonjwa huu....
Kwanini Esb3 hii dawa ni jamii ya sulfur na inauwezo wa kukinga kuku wako dhidi ya magonjwa matatu nayo ni fowl typhoid fowl cholera na coccidiosis....
Kila la kheri Mkuu....
Ndio mkuu hizo taarifa zina ukweli Bata wako Resistance kwa magonjwa mengi tofouti na kuku.... Katika fani yangu hii ya utabibu wa mifugo sijawahi attend any case inayohusiana na bata..... But kuna magonjwa mawili hatari sana incase yakivamia shamba lako nayo ni Duck viral hepatitis and Duck viral enteritis Thou ni rarely sana kuvamia shamba...
Kwa ushauri wangu wangu ukibahatika kuanzisha mradi wako make sure uwe na good management katika suala zima la mabanda na vyombo vya chakula na maji katika farm yako hiyo ya bata na pia ukumbuke kuwachanja bata wako dhidi ya hayo magonjwa hapo juu.... Kila la kheri mkuu
Chanjo za magonjwa niliyoambatanisha hapo juu...Mkuu hizo chanjo za bata ndo zipi??
Uliwachanja dhidi ya kideri maana dalili ulizosema hapo ni moja wapo ya kideri mkuu..Naomba msaada wako. Vifaranga wangu wana kuwa na tabia ya kupindisha shingo kama kizunguzungu na anapotaka kula anashindwa kulenga haraka katika kudonoa chakula husika. Unakuta shingo inajigeuza bila mipango yake. Anapotaka kunywa maji anakuseakosea kuweka shabaha katika chombo husika na kudonoa chombo hadi atakapobahatisha. Ninawafugia vifaranga ndani ya nyumba. Nimeshindwa la kufanya.
Chanjo za magonjwa niliyoambatanisha hapo juu...
Na kwa tanzania sidhani kama zinapatikana mkuu...
Hapo ni kuwakata midomo ndio njia sahihi maana kuku kama akishaanza kula mayai ni ngumu sana kuacha...Habar wakuu,kuku wangu chotara (sasso) wanataga lakin ghafla wameanza kula mayai kwa kasi,naomben msaada nitumie njia gan kuzuia?
Mafua sugu yaweza kuwa ni infectious bronchitis ni ugonjwa wa virusi ambao kuku wakiupata wanakuwa na mafua ya muda mrefu bila kupona...Siku nyingine ujipatwa na tatizo hili wape doxcol kwa doz ya kijiko cha chakula kwa maji Lita 10. Pamoja na multivitamin kama farmvita. Yalikua mafua makali eidha yaliambatana na Kuku kuvimba macho, kukoroma n.k ko ilibid ubadili dawa.
Sawa kiongozi jaribu kuwaweka bata wako katika mazingira safi muda wote..Ok asante. Maana nmeisoma hyo hepatitis naona ndo imekumba bata wangu maana amekufa shingo kama karudsha nyuma.
Ukiachana na lishe pia mazingira huchangia mazimwa kushuka chini hashasa ukimtoa ng'ombe katika mazingira ya ubaridi na kumleta katika mazingira ya joto hiyo kadhia lazma ikukute mkuu...Wape madini ya ultramix na chakula cha kutosha. Pia zingatia kutotumia dume ambalo ni ukoo mmoja na majike ili kuepuka inbreeding.