samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,607
- 4,818
Naaam ukitaka kujua soma CAG report juu ya nssf, halafu chunguza uhusiano wa huyo jamaa na Balozi Dau..Kuna story behind this company, fuatilia miradi mingi ya huyu jamaa vs. NSSF
Naaam ukitaka kujua soma CAG report juu ya nssf, halafu chunguza uhusiano wa huyo jamaa na Balozi Dau..Kuna story behind this company, fuatilia miradi mingi ya huyu jamaa vs. NSSF
Kipindi cha nyuma ,ukiwa na connection tu basi unakuwa bilionea ,mfano akina Lugulumi(?)tumeshamsahau kelele zilikuwa nyingi bungeni na sasa kimya.Miaka ya nyuma wapiga dili ndio wamekuwa mamilionea na si kwa juhudi zao bali kuna watu walikuwa wakiwashika mikono,na hao wanaosifiana hebu watuambia wasifu wao na hatua walizopitiaJazia nyama mkuu, wapi katokea, ameanza na miradi gani, elimu yake.
Watu tujue na kujifunza zaidi
Lakini hujaonyesha kiuhalisia alikuwa mtu wa namna gani huko nyuma ili andishi lako lifae kutumika kama case study, au kwa kuwa andishi ni la kiingereza mimi sikuelewa!Case study kwa waliokata tamaa ya maisha...
Aiseee...Yes.. But so far his company was the best local company to carry such projects.... Many other electrical company were not capable and were defaulting on their contracts.. This turned out to be an opportunity for him.... And that is what an entrepeneure does...
Nakuelewa vyema mkuu...Naaam ukitaka kujua soma CAG report juu ya nssf, halafu chunguza uhusiano wa huyo jamaa na Balozi Dau..
We have a lot of local contractors of their kind and are capable of doing auch projects,the relationship status with Dau is what had given him such contracts.Yes.. But so far his company was the best local company to carry such projects.... Many other electrical company were not capable and were defaulting on their contracts.. This turned out to be an opportunity for him.... And that is what an entrepeneure does...
Moja ya watu wanaojua kubeba watu ni huyu ndugu.Huyu ni injinia mkuu...
AmenTuwaenzi wawekezaji wazalendo.
Usitake watu watoe nyongo na ule mradi wa NSSF mwanza jinsi alivyopiga tukianza kufunguka juu yake nazan kesho utamkuta maskini pia yeye ni kivuli tu mwenye ka kampuni ni mjomba wake anaitwa DERUA MRINGOA sasa we endelea kama hajamalizwa
Mohamed Mringo ndiye aliyemdhulumu mabus Prof. Maghembe!!??C yale pale makumbusho zilipo ofisi za tigo na lile jingine linalomaliziwa. Kaka yake ndo yule aliekua diwani wa kimara alipiga mpunga kwe mradi flani wa maji anaitwa mahmood na wana mdogo wao ni lawyer anaitwa Rasquiner yupo pale pale kwe jengo la braza wake.
"...this guy started from bottom few years ago..."Mringo is our modern day case study that demonstrates its possible to come from ordinary background and still get rich in Tanzania...
This guy started from bottom few years ago but now he owns couple of skyscraper in Dar.. In the past five or six years, he has made a number of contribution that affect Tanzania as a country positively...
Apart from helping in changing the face of the city with ultramodern structures, his company Derm Electrics has done much in rural electrification as well as providing jobs.
Different from many billionaires, he is very keen of supporting local economy because he buys a lot domestically rather than importing what is available in the domestic market.
The guy is very discreet and media shy, that is why he has largely remained anonymous...