unaelewa mchakato mzima wa upigaji kura,zoezi la kuhesabu na utangazaji wa matokeo ..tafadhali sana MUNGU hadanganywi usitumie kitabu kitakatifu tafadhali nakuomba .tufanganyane kivingine alakini sio kwenye masuala yanayohusu maisha ya watu.
sauti ya wengi ni sauti ya MU?GU.
Asante.
hata kwetu mwenyekiti na viongozi wengine wote ni pipo.
uwazi kwenye mapato ya Kijiji michango ya kijinga hakunaga
raha sana mpaka Kijiji cha jirani wanajuta kuichagua fisiemu
huyo jamaa atakua mpumbavu sana kama ni kweli atakua ametoa hiyo kauli ya kishetani.
kwanza nani kamwambia polisi wote ni fisiemu??
huko ni kulewa madaraka.
ajipime kama vipi.
dola ishuke thamani alafu uchumi ukue...haiingii akilini.
umeme upi wanaosema kuongezeka kwa nishati??
hizo tafiti ni zile mtu anafanya akiwa kajifungia na mchepuko wake kwenye nyumba wanazofikiaga wageni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.