Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
- Thread starter
- #21
Pesa yako tu. Karibu.ok..kama hakuna fake..naomba uniuzie hyo all star basi...
Pamoja na kuwa hujajibu swali langu.
Pesa yako tu. Karibu.ok..kama hakuna fake..naomba uniuzie hyo all star basi...
Utashindwaje kushine kwa mfano.
jichagulie adidas kulingana na mfuko wako,
Za valvet Tsh 25000
size 40-45
Leather Tsh 40000
bila kusahau Allstar na punguzo la hali ya juu hadi 21000.
Usiposhine umeamua mwenyewe.
Mkoani natuma ila gharama za utumaji ni zako mteja.
watu wa Dar home delivery ni jumamos na jumapili na unachangia 2000
serious buyer ni pm.
View attachment 335853View attachment 335854View attachment 335855View attachment 335856View attachment 335857View attachment 335858View attachment 335859View attachment 335860View attachment 335861
size 40-45.Hiyo picha ya nne ina namba ngapi na kiasi gani pia kwa bei bishosty...?
Fungua post ya hzo za mtumba. Hii inahusu bidhaa za dukanChuga nilinunua laki all stars mtumba .kama mpya vile.hizo za bongo alfu arobaini mmmmh..
Mimi siwez mlaumu apologise lady coz its not fair mtu hujaulizia bidhaa wewe moja kwa moja una assume kwamba bidhaaa ni fake....thats just not right and not fair at allmbona hasira mkuu
naziona strategy zako mkuu....Mimi siwez mlaumu apologise lady coz its not fair mtu hujaulizia bidhaa wewe moja kwa moja una assume kwamba bidhaaa ni fake....thats just not right and not fair at all
Strategy gan??ok..
naziona strategy zako mkuu....
Yeah. Na mimi nshasanda iyo mambo tyr..all star ya 21000 bila shaka ni mdosho
Uongo usipoukanusha unaweza kujengeka na kuwa ukweli. Pia wanakera kaka, serious sipendi ujinga kwenye mambo ya muhimu.Kiukweli wanunuaji sio wachangiaj sana wa mada,wao huwa wanaenda pm directly,huyu binti ni mkweli na mtu poa,anapgana na maisha,kama og n 400,000 na yeye hapa kasema 40,000 ina maana wewe hujiongezi?na wewe apologies si lazma hujibu kila comment,utakmbiza wateja ambao wako kimya ila wanakuja pm,niliwah kuweka tangazo hapa,comment zlikuwa 0,ila pm 30 na bidhaa ikaondoka
hizi bei gani? una 41?Uongo usipoukanusha unaweza kujengeka na kuwa ukweli. Pia wanakera kaka, serious sipendi ujinga kwenye mambo ya muhimu.
Hiyo pata pair yako kwa 25,000hizi bei gani? una 41?