Mu-sir
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 3,621
- 1,640
Angalia username Halafu pita kimyakimya
Kweli anafanana na user name yake
Angalia username Halafu pita kimyakimya
Kuna reasoning nyingine zinaeleza kiwango cha akili ya mtuIt can happen anywhere. This is what happened in France, Charles de Gaulle International airport May 23, 2004
![]()
![]()
kama viongozi wa fisiemu na watendaji waliopewa dhamana kusimamia ujenzi wa terminal III walikula 10%,unategemea nini.Mimi nasema yote hii ni mipango ya mungu kuelekea kuiondoa madarakani serikali ya CCM.
sawa mkuu mshana
Kuna reasoning nyingine zinaeleza kiwango cha akili ya mtu
It can happen anywhere. This is what happened in France, Charles de Gaulle International airport May 23, 2004
![]()
![]()
Huyu aliyeanza kuweka hii picha hapa katuingiza cha kike... Ikimpendeza ataomba radhi
nyinyi ndio mmekurupuka. yeye kasema uinaweza kutokea popote kama ilivyotokea france akaambatanisha na picha.
nyinyi ndio mmekurupuka. yeye kasema uinaweza kutokea popote kama ilivyotokea france akaambatanisha na picha.
Misifa kibao. Ngoja tusubiri tuone ... maana sasa hivi kwa mbali kinachoonekana ni 'trusses' kama zile zilizojengewa Mlimani CityTerminal 3, a 75,000-square-metre complex five times bigger than Terminal-2, will be served by 40 counters, equipped with 18 air bridges and designed to dock gigantic A380 Airbus planes.