Kwanini huu uwanja unaitwa Ruanda Nzovwe?

Kwanini huu uwanja unaitwa Ruanda Nzovwe?

Tumeambukizwa na wazulu wa Africa kusini usishangae sana......mabadilikoooooo!!!!!
 
Wana Mbeya, kwanini uwanja huo unaitwa hilo jina na sifa zake kubwa ni zipi?

Hivi kuna kiongozi yeyote alitoka Mbeya kipindi cha kudai uhuru? Mbona Mbeya mnapenda mabadiliko zaidi hata ya Musoma kwa Nyerere?

Nawapenda sana wana Mbeya.

ni jina la maruhani,,,,,si unajua tena uko mbeya haya mambo wameyapa kipaumbele sana
 
nadhani mleta mada alikua amechanganyikiwa na hili(Rwanda)
(Ruanda)
kuna tofauti hapo japo kimatamshi karibia zinafanana.
 
Fiati upo mafiati? Tukutane Mbeya Carnival baadae

Hivi hiyo bar bado ni usiku kucha, niliwahi kuwaga pale ila ile story ya kuuwawa mtu nadhani kwa ugomvi iliwapunguzuia wateja kidogo.
 
Last edited by a moderator:
RuandaNzovwe ni shule ya msingi (imezaa shule zingine 2 za msingi) ambayo ipo barabara kuu ya Iringa-Mbeya. Panapofanyika mikutano ni uwanja wa mpira wa shule hiyo ambao upo karibu kabisa na barabara kuu. Ndio uwanja pekee wa wazi kwa Mbeya mjini ambao upo karibu na barabara kuu-hivyo kuweza kufikika kirahisi. Pia ni mbali kidogo na town centre, hivyo huwa hauathiri sana shughuli za katikati ya mji.
 
RuandaNzovwe ni shule ya msingi (imezaa shule zingine 2 za msingi) ambayo ipo barabara kuu ya Iringa-Mbeya. Panapofanyika mikutano ni uwanja wa mpira wa shule hiyo ambao upo karibu kabisa na barabara kuu. Ndio uwanja pekee wa wazi kwa Mbeya mjini ambao upo karibu na barabara kuu-hivyo kuweza kufikika kirahisi. Pia ni mbali kidogo na town centre, hivyo huwa hauathiri sana shughuli za katikati ya mji. Huenda asili ya jina ni mto Nzovwe na eneo la Luanda ambalo lipo Isanga-vyote vikiwa maeneo ya jiran na shule hiyo.
 
Home hapo,ukivuka road ukapanda juu unaenda ivumwe,ambako kuna shule ya sekondari ivumwe.kuna mji mkubwa sn huko mpaka.
 
Hadi gereza la hapo mjini linaitwa GEREZA LA RUANDA, sijui ni kwa nini hasa, tuelimishane
 
Back
Top Bottom