Hello guys,
Tafadhari kuweni makini Sana, kuna jamaa hua ana post bidhaa za Electronics kama Laptops na Mobile phone's za aina tofauti tofauti na kutangaza kuziuza kwa bei chee.
Anasema yupo hua anapokea mzgo kutoka kwa Shemeji yake ambae yuko Iringa ndio maana anauza kwa bei chee hzo bidhaa...
Yani hiyo yote inamaanisha kuwa, mipango bila akili bado ni sifuri2. Watanzania hawataki utawala wa hisia, tunataka utawala bora na makini. Ndio maana ukawa (Ukiwa) wanahaja ya kujipanga upya kwaajiri ya uchaguzi wa mwaka 2025. Samahan lakn
Hello guys..
Naomba kuuliza,
Katika technology ya kileo kuna uwezekano wowote wa kubadirisha video zilizo katika mfumo wa VHS (yaan ile mikanda ya kizamani) kwenda katka mfumo wa CD au DvD...?
Ha ha ha,
Hapo umesemea kuuzwa kwa uanachama Chadema, Japokua kuna ukweli ndani yake lakn kuna vibofu watakuja kukutukana kwann unasema ukweli sana.
Daah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.