Endo agar
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 487
- 335
Cyo lazima kukoment kitu ambacho huajakielewa.....aibu yako mwenyew..mfyuuu....
Kwendraaa uko,limekutachi Ilo, udsm kitambo iko enz za FOE co COET.
Cyo lazima kukoment kitu ambacho huajakielewa.....aibu yako mwenyew..mfyuuu....
subir tamko la HESLB tu
Ni masaa takribani mengi sasa yamepita tangu kutolewa kwa tamko na serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es Salaam wakinukuu maelezo waliyopewa na Bodi ya mikopo kuwa ndani ya masaa 48 toka mda walipopokea maelezo hayo majina ya wanafunzi ambao walikuwa wamekosa mikopo yatakuwa out. Je yamebaki masaa mangapi kukamilisha idadi ya masaa 48?
. Hasubiri HESELB kivipi mkuu wakati hao wa heselb ndo uwa wanabana mammbo ya wanafunzi kupata mkopo....Yalitokea mwaka 2013....wanafunzi wengi walikosa mkopo....likaundwa kundi la vijana kama 700 kufatilia suala hilo....haikuwa kazi raisi....ila mwisho wakabaki watu kama 30....nguvu yao ikawawezesha vijanabtakribani 1007 kupata mkopo.....tafuta mtu mwenye namba hii awape njia walizopitia mpaka wakapata mkopo na wapo chuo wanakula kitabu.0712177649
Hivi hao wa awamu ya kwanza wameshaingiziwa kwenye akaunti zao?
Jamani katika swala hili la mikopo vipi kuhusu wanafunzi wasiokua na wazazi halaf wakakosa mkopo kuna kipaumbele gani juu yao?