Jayll7
Senior Member
- May 20, 2014
- 170
- 21
Hello guys,
Tafadhari kuweni makini Sana, kuna jamaa hua ana post bidhaa za Electronics kama Laptops na Mobile phone's za aina tofauti tofauti na kutangaza kuziuza kwa bei chee.
Anasema yupo hua anapokea mzgo kutoka kwa Shemeji yake ambae yuko Iringa ndio maana anauza kwa bei chee hzo bidhaa.
Point ya mcngi ni kwangu huyo jamaa ni mwizi mzuri2 yani hata kukaba anakaba coz yuko na kundi lake.
Yaani ukikubali kufanya nae bzness bas ujue umeliwa.
Namba zake hizi hapa.. 07885***86.
Tafadhari kuweni makini Sana, kuna jamaa hua ana post bidhaa za Electronics kama Laptops na Mobile phone's za aina tofauti tofauti na kutangaza kuziuza kwa bei chee.
Anasema yupo hua anapokea mzgo kutoka kwa Shemeji yake ambae yuko Iringa ndio maana anauza kwa bei chee hzo bidhaa.
Point ya mcngi ni kwangu huyo jamaa ni mwizi mzuri2 yani hata kukaba anakaba coz yuko na kundi lake.
Yaani ukikubali kufanya nae bzness bas ujue umeliwa.
Namba zake hizi hapa.. 07885***86.