TAMKO: Rais JPM Kasema

TAMKO: Rais JPM Kasema

Tamko lipi tena mkuu,hebu liweke hapa tulione,maana hawa jamaa nao mambo yao kama siyelewi vile,tamko lao la juzi nlipomuuliza jamaa yangu yupo hapo UDSM akaniambia kumbe Venance alpewa tamko bandia.
 
"Pombe" ya Zamani ndani ya Chupa Mpya!

'Tangu lini ngozi ya kitimoto ikawambwa ngoma'- COMMANDO Hamza Kalala
 
kanipa raha Mheshimiwa Raisi kwa kutoa hilo tamko kwa kweli Mungu ampe hekima na maisha marefu tuweze kusonga mbele. nshaanza kuona matunda japo nlikua against CCM ila mkuu anapiga kazi kwa kweli i appreciate that.
 
jaman ni bahati ilioje? kweli tumshukuru Mungu kwa kutupatia kiongozi mchapa kazi na tumshukuru pia kwa uchaguzi kufanyika vyema. sasa lililo mbele yetu ni mikopo kwa sisi wanavyuo tunaoanza masomo yetu.

Mh JPM jana alitoa kauli kwa kweli iulinifurahisha sana na sasa ni kumwomba Mungu uzima niwe mnufaika na pia kumuombea mema Rais wetu awe na hekima.

hakika ni mchapa kazi i appreciate that. and the next election i promise him vote lazima kwa mchango aliouonyesha alfajiri na mapema. hakika sisi totoz za kipato cha kawaida tungelamba chini kwa hali halisi ya maisha but tamko la Mr president linanipa faraja pia na wengine pia.

pia wana wa DARUSO pamoja sana kwa support yenu mnayoionyesha tuko pamoja.
wadogo zetu mnaoanza shule mwakani 2016 mambo yamenoga kazi kwenu kutia msuli tuu. i wish you the best.
never seen.

pia Mr president naomba uangalie mgogoro katika chuo cha st joseph Arusha campus na Kampala ile sekta ya afya ina matatizo sana please tatua hii migogoro na nina imami serikali yako itapendeza sana. nakuombea kwa Mungu kama ulivyosema Baba.
 
Tamko gani??? hujui serikali inakuaga na matamko mengi bila utendaji hasa yahusuyo pesa??
 
Ngoja waombe vyuo viwasajili uku wakishughulikia tatizo usome semester moja ya tabu na mateso uichukie serikali vizur
 
Hahahaa....unafurahi kwa tamko tu bila matendo, hapo utangoja xana.
 
Ha ha ha,
Magufuli anawangoja waandamane wakione..
 
jaman ni bahati ilioje? kweli tumshukuru Mungu kwa kutupatia kiongozi mchapa kazi na tumshukuru pia kwa uchaguzi kufanyika vyema. sasa lililo mbele yetu ni mikopo kwa sisi wanavyuo tunaoanza masomo yetu. Mh JPM jana alitoa kauli kwa kweli iulinifurahisha sana na sasa ni kumwomba Mungu uzima niwe mnufaika na pia kumuombea mema Rais wetu awe na hekima. hakika ni mchapa kazi i appreciate that. and the next election i promise him vote lazima kwa mchango aliouonyesha alfajiri na mapema. hakika sisi totoz za kipato cha kawaida tungelamba chini kwa hali halisi ya maisha but tamko la Mr president linanipa faraja pia na wengine pia. pia wana wa DARUSO pamoja sana kwa support yenu mnayoionyesha tuko pamoja.
wadogo zetu mnaoanza shule mwakani 2016 mambo yamenoga kazi kwenu kutia msuli tuu. i wish you the best.
never seen.
pia Mr president naomba uangalie mgogoro katika chuo cha st joseph Arusha campus na Kampala ile sekta ya afya ina matatizo sana please tatua hii migogoro na nina imami serikali yako itapendeza sana. nakuombea kwa Mungu kama ulivyosema Baba.

Ama wewe kweli ni MBUZI NA KUKU! Jina linakufaa sana na wala usilibadilishe. Unafurahia mkopo wakati ulikuwa usilipe kitu mpaka unamaliza PhD yako!
 
jaman ni bahati ilioje? kweli tumshukuru Mungu kwa kutupatia kiongozi mchapa kazi na tumshukuru pia kwa uchaguzi kufanyika vyema. sasa lililo mbele yetu ni mikopo kwa sisi wanavyuo tunaoanza masomo yetu. Mh JPM jana alitoa kauli kwa kweli iulinifurahisha sana na sasa ni kumwomba Mungu uzima niwe mnufaika na pia kumuombea mema Rais wetu awe na hekima. hakika ni mchapa kazi i appreciate that. and the next election i promise him vote lazima kwa mchango aliouonyesha alfajiri na mapema. hakika sisi totoz za kipato cha kawaida tungelamba chini kwa hali halisi ya maisha but tamko la Mr president linanipa faraja pia na wengine pia. pia wana wa DARUSO pamoja sana kwa support yenu mnayoionyesha tuko pamoja.
wadogo zetu mnaoanza shule mwakani 2016 mambo yamenoga kazi kwenu kutia msuli tuu. i wish you the best.
never seen.
pia Mr president naomba uangalie mgogoro katika chuo cha st joseph Arusha campus na Kampala ile sekta ya afya ina matatizo sana please tatua hii migogoro na nina imami serikali yako itapendeza sana. nakuombea kwa Mungu kama ulivyosema Baba.
wew umekuja kumpongeza tu,rejea kichwa chako pale hilo tamko lipi mbona hujali highlight .
 
Unafurahia tamko bila utekelezaji,kazi kwelikweli.
 
sio jambo la kushukuru.
ukitaka kujua ni haki yako ya msingi angalia vitu hivi.
-mwaka jana walipata wangapi na % ilikua ni ngap linganisha na mwaka huu.
-bajeti ilikua kiasi gan mwaka jana na mwaka huu.

utaelewa tuu ni michezo kwasababu waTZ hua hatutaki kujifikilisha so tunaona ni neema ila hamna kitu ni ujanja ujanja tuuu
 
Back
Top Bottom