Huyo padre mzembe kweli!Hv haoni kama ccm inafaidika na mgawanyiko wa wananch kutokana na dini zao??Wangapi wamebwatuka juu ya hilo na bado serikali imekaa kimya,wanasubiri machafuko yatokee waje kutembea kujionee vioja.NB;Aingie siasani mzimamzima.
Zitto achana za vibaraka wa matumbo ya mabosi cdm,watatxmia kila njia ikiwemo kueneza propaganda humu jf,kelele za mbu haziwez toboa chandarua.Na rais hateuliwi na jf,we waache waendelee kuvimbishana mabichwa humu.
Cdm ni taasisi ya watu wachache au taasisi ya umma.??Muda utatoa majibu tu,propaganda na porojo za humu JF haziwez toa majibu.we should have diversity thinkin'.
Dah!Kawaida ya wana cdm wengi huongozwa na hasira za mkizi.Na mvuvi( ben saa nane) amewachota wengiii..!!Zitto sio mchumia tumbo kama slaa,anasimamia anachokisema(sichukui posho),anatumia nguvu ya hoja na si hoja ya nguvu kama viongozi wengine.Fikiri hapo.
Uongoz wa cdm unajua mgogoro uliopo ila umekaa kimya kumuacha ben saa mbovu atimize jukumu lake.Zitto nia yako ya kugombea urais,hawata kuacha ndo inazua yote haya, watakung'ang'ania mpaka utoke cdm.Kaza moyo utayashinda haya majaribu.
Hawa jamaa wote ni wanafki na wote wanaendelea kutumika kuimarisha kambi zao chamani,nadhani n utoto uduchu wao ktk siasa chafu.Nendeni kwa magamba mjifunze siasa chafu zinavyochezwa na jinsi ya kuvumiliana kwny mchezo.
Nadhani tatizo hapa n URAIS 2015.
Hana jipya mnafki tu,hayo mawazo yalishatolewa longtime kitambo tu.Atumie pesa alizoficha uswis kuanzisha academy yake, hapo atakuwa amefanya la mbolea kiduuuchu!!
Siasa ana sura tofautiii!!!Anavyoigiza akiwa jukwaani,ukumbini,nje ya dola na akiwa ameshika dola n vtu tofauti kabbisa!!Nia yake anaijua yeye na mungu wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.