mimi pekee
Member
- Sep 25, 2012
- 9
- 0
mlitaka akale wapi?
Hatimaye mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Kivule Bwana Buganda ameamua kujiuzulu au kuachia wadhifa huo kwa tuhuma nzito za kutafuna michango ya wanachama wa CHADEMA katika jimbo la Ukonga. Fedha hizo zilichangwa kwa ajili ya kuandaa na kufanikisha mkutano wa hadhara, pamoja na kujiuzulu bado atadaiwa fedha hizo.Hadi sasa hajarejesha fedha hizo.o
Namna hii tutafika kweli?
Hiki chama kinachekesha kweli,kama kiongozi wa kata anakwapua jasho la wananchi,kwanini meya wa manispaa ya moshi asijichukulie chake mapema kwa kujiundia safari fake?