Recent content by Japhet

  1. J

    Amatus Liyumba: Balaa!

    Huna budi kumshuku..la sivyo ungekuwa kwenye orodha yake hivi sasa....
  2. J

    The Rise and Fall of Augustine Lyatonga Mrema

    Mwaka 1995 Baba wa Taifa alaimshauri Mrema akagombee Ubunge badala ya Urais akakataa. Machungu sasa anajuta. Pengine nyota yake ingeng'ara zaidi akiwa Bungeni. Vivyo hivyo, mimi kama Mtoto wa Taifa, namshauri ahachane na siasa (astaafu mambo ya siasa) mwaka 2010. Simshauri hata akagombee...
  3. J

    Polisi Waua Raia Arusha

    How reliable is your source???? Sometimes inakuwa ngumu kutoa comments kwenye habari zilizovunjika vipandevipande kama hizi. It will be highly appreciated if you show the source of your informantion to enable free sharing of views. Let us not make the JF a beauty salon please.
  4. J

    Ni umri gani unaofaa kuoa au kuolewa?

    Natoa shukrani zangu za dhati kwa mtoa mada hii na wachangiaji. Sasa na mimi nimepata ujasiri wa kutoa dukuduku langu. EE bw. wana JF mimi agea inakimbia kidogo...hivi sasa nakimbilia kwenye kiloba cha 42 cha chumvi (yaani miaka 42). Lakini kusema ukweli sijampata mchumba inagawaje...
  5. J

    Kosa la Eva

    Mungu wenu anawasikia. Atawauliza maswali hayo siku mkifikishwa kwake. Pia mtaulizwa maswali hayo mbele ya Adamu, Eva na Ibilisi ili mdhibitishe kweli hilo ndio tunda lililoliwa??? Au mmezipotosha roha za watu???.... ...Pia inabidi muelewe kwamba kule hakuna wakili wa utetezi wala dhamana ya...
  6. J

    Mawaziri waghushi vyeti

    Wahenga husema.."kwenye kundi la mamba na kenge wamo".....inauma sana ndugu zangu wana JF..watu tunalala darasani tunavimba macho kwa kusoma (Masters & PhD)..lakini wanatokea wajanja kama hao wanatafuta Masters & Phd Feki..then wanaanza kuitambia jamii... Wengi wao wanatembea na mabango ya...
  7. J

    Bank M: Connecting the dots

    Waweza kutuwekea source pleaze???
  8. J

    Kesi ya Liyumba, Utata na Maendeleo yake

    lisha ashiria kwamba angetoroka kwani aliwasilisha passport feki. Hakimu aliyekiuka mashart ya dhamana itabidi awekwe ndani badala yake.
  9. J

    Kesi ya Liyumba, Utata na Maendeleo yake

    Ndio maana alikuwa anawasilisha hati zilizokwisha expire ili atumie hati halisi kutoroka??? ..atakuwa amefichwa na mmoja wa mademu zake.....inabidi upekuzi uanzie huko.
  10. J

    Serena Williams jana

    Duh!! Nimejaribu kuvuta hisia juu ya nini hasa kilicho ndani ya kabati ya huyo mwana dada hadi kichwa chauma...sipati picha..namwachia mshikaji wake ..yeye ndio anaweza akatupa story halisi...lakini nadhani itakuwa imekakamaa sana kutokana na mazoezi mazito kiasi kwamba inatakiwa uwe mwana...
  11. J

    CHADEMA kwawaka Moto! Mbowe arudi Dar!

    We IsayaMwitaMaraanyaaa una yako binafsi kumutima. Inaonekana kama vile baadhi ya wanachama wa CHADEMA kutoka Mkoa wa Mapanga Shyaaaa wana ajenda zao za siri kuhusu Mbowe. Hivyo hizi ni propaganda za kumchafulia jina tu. Hasira yenu kwa Mbowe bado haijaisha??? Mbona mna capacity kubwa ya...
  12. J

    Waziri apanda kizimbani: ...Kisa cha SANGAM SECURITAS!

    Du, wewe Noma!!!! Motoooo!!! Naona kama kweli vile. Tusubirie hukumu tu. Hapa hachomoki mtu. Hata wakili wa utetezi ameshindwa kumtetea...amebakia kusema.."objection your honour"! kila wakati. Kwenye kesi hii, jamaa huyu hatobebeka, haka akileta staff yake nzima (Including na wale ambao...
  13. J

    Mwanamziki mwingine Msondo Ngoma afariki dunia

    Ni maskitiko Makubwa....kwa wanamsondo na watanzania wote kwa ujumla...naipenda sana Msondo...M/Mungu ailaze roho ya marehemu pahala pema peponi.
  14. J

    You must be kidding me! - 21.9Millions USD?

    .....Ingawaje waswahili wanasema..cha bure hakina nyongeza.... .....lakini sisi tunaona msaada huo ni vijisenti tu.............
  15. J

    Hausigeli!

    Unyanyasaji huo wa wamaza unatokana na hofu za kuibiwa mahusband zao na ma GK3...lakni nadhani dhana kubwa ni ukosefu wa upeno tu..wamaza unakuta wengine wamepitia maisha ya shina na kunyanyaswa kabla ya kuolewa na kupata hifadhi kwa madingi..lakini maisha yao yakishakuwa supa wala hawakumbukia...
Back
Top Bottom