Mwaka 1995 Baba wa Taifa alaimshauri Mrema akagombee Ubunge badala ya Urais akakataa. Machungu sasa anajuta. Pengine nyota yake ingeng'ara zaidi akiwa Bungeni.
Vivyo hivyo, mimi kama Mtoto wa Taifa, namshauri ahachane na siasa (astaafu mambo ya siasa) mwaka 2010. Simshauri hata akagombee...
How reliable is your source???? Sometimes inakuwa ngumu kutoa comments kwenye habari zilizovunjika vipandevipande kama hizi. It will be highly appreciated if you show the source of your informantion to enable free sharing of views. Let us not make the JF a beauty salon please.
Natoa shukrani zangu za dhati kwa mtoa mada hii na wachangiaji.
Sasa na mimi nimepata ujasiri wa kutoa dukuduku langu. EE bw. wana JF mimi agea inakimbia kidogo...hivi sasa nakimbilia kwenye kiloba cha 42 cha chumvi (yaani miaka 42). Lakini kusema ukweli sijampata mchumba inagawaje...
Mungu wenu anawasikia. Atawauliza maswali hayo siku mkifikishwa kwake. Pia mtaulizwa maswali hayo mbele ya Adamu, Eva na Ibilisi ili mdhibitishe kweli hilo ndio tunda lililoliwa??? Au mmezipotosha roha za watu???....
...Pia inabidi muelewe kwamba kule hakuna wakili wa utetezi wala dhamana ya...
Wahenga husema.."kwenye kundi la mamba na kenge wamo".....inauma sana ndugu zangu wana JF..watu tunalala darasani tunavimba macho kwa kusoma (Masters & PhD)..lakini wanatokea wajanja kama hao wanatafuta Masters & Phd Feki..then wanaanza kuitambia jamii...
Wengi wao wanatembea na mabango ya...
Ndio maana alikuwa anawasilisha hati zilizokwisha expire ili atumie hati halisi kutoroka??? ..atakuwa amefichwa na mmoja wa mademu zake.....inabidi upekuzi uanzie huko.
Duh!! Nimejaribu kuvuta hisia juu ya nini hasa kilicho ndani ya kabati ya huyo mwana dada hadi kichwa chauma...sipati picha..namwachia mshikaji wake ..yeye ndio anaweza akatupa story halisi...lakini nadhani itakuwa imekakamaa sana kutokana na mazoezi mazito kiasi kwamba inatakiwa uwe mwana...
We IsayaMwitaMaraanyaaa una yako binafsi kumutima. Inaonekana kama vile baadhi ya wanachama wa CHADEMA kutoka Mkoa wa Mapanga Shyaaaa wana ajenda zao za siri kuhusu Mbowe. Hivyo hizi ni propaganda za kumchafulia jina tu.
Hasira yenu kwa Mbowe bado haijaisha??? Mbona mna capacity kubwa ya...
Du, wewe Noma!!!! Motoooo!!! Naona kama kweli vile. Tusubirie hukumu tu. Hapa hachomoki mtu. Hata wakili wa utetezi ameshindwa kumtetea...amebakia kusema.."objection your honour"! kila wakati. Kwenye kesi hii, jamaa huyu hatobebeka, haka akileta staff yake nzima (Including na wale ambao...
Unyanyasaji huo wa wamaza unatokana na hofu za kuibiwa mahusband zao na ma GK3...lakni nadhani dhana kubwa ni ukosefu wa upeno tu..wamaza unakuta wengine wamepitia maisha ya shina na kunyanyaswa kabla ya kuolewa na kupata hifadhi kwa madingi..lakini maisha yao yakishakuwa supa wala hawakumbukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.