ulitaka wauwawe kiboya?tena na polisi waliotoka chuo juzi!halafu kajifunze kuandika bwana,umenipa shida sana kusoma,hapo ni kiswahili je ungeambiwa ubadilishe lugha!
mwenye upuuz ni wewe,imekutouch nin?ha ha ha,au ndo na wewe ni mlengwa,pole sana,tena sanaaa!!me najithamin sana,ndo maana cwez kuwa na mtu zisiyemtosha kwa kichwa
aaaaaa!damn....kwakwel wanataka kutukatili me bla hyo bdo cpati raha ya mapenzi!kwan tukipima magonjwa yte ya zinaa c tunakuwa safe au?me niko tayari kupima kila kitu ili tu babyboy wangu asiache ulambo...
hakuna mwanamke anayetaka mwanaume mweny akil ndogo,n sory to say it but nahic akili yako ni ndogo,umemaliza chuo hujapata kazi,badala ya kufanya mishe mishe ya hela,unabaki kusema income ipo ila c kivile,elimu yako imekusaidia nini?na inavyoonekana bado una mawazo ya kuajiriwa cz we ajira ndo...
hyo op wanaita laparoscopic appendectomy,wanachana nusu nch wanaingiza fibre ndan ya tumbo!ni kama normal procedure za ndan only that hii hawa expose tumbo lote!
c kwamba ctak op,nataka kuifanya mapema bt bila kuchanwa nje ya tumbo!kama kuna rafiki yangu alifanyiwa op ya moyo bila kupasuliwa nje!c unajua tena mambo ya technology!ndo hyo op ya design hyo nataka kujua wanafanyia wapi tz hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.