Kila mzazi alee mtoto wake, Labda kwa wale waliofariki. Wanaume wangapi wanakubali kuoa wanawake wenye watoto? Jaribu kufanya utafiti uone idadi ya wanawake wanaoishi na wanaume wenye watoto? Jiulize ni wanaume wangapi wanazaa nje ya ndoa na wanaleta watoto nyumbani kwa kisingizio cha shetani...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mvue viatuuuuu! Mpokee gazetiiii! Labda mama wa nyumbani, ambao siku hizi hawapo wako kwenye ujasiliamali.
Mtaala wa kitchen party Inabidi ubadilishwe ill uendane na wakati !
Sijawahi kutetea uovu!! Unatafuta kisingizio cha kuhalalisha mchepuko!!!! Endelea kuchunwa kwa kwa kisingizio cha kukumbushwa saa ya kula . Wewe uliwahi kumkumbusha mkeo saa ya kula? Je, huyo mkeo hana kazi nyingine anayoifanya zaidi ya kukufikiria wewe?
Shida ipo ! Ya kutowekwa mtandaoni sio tatizo.
Tatizo ni kuficha uwepo wa familia yake! Hii anaifanya kwa sababu anachepuka.
Talaka inaruhusiwa kwa sababu ya uzinzi hivyo unaweza dai talaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.