Nimedukua Mawasiliano ya Mke wangu- Weka Mbali na watoto!

Tamaduni zetu ni tofauti sana, ukioa mzungu ukifikiri atakuwa kama mwafrika umeliwa. Mfumo dume uko Africa tu, anayetaka kuuendeleza aoe mwafrika.

Na hakuna utawala mbaya kama wa mwanamke aisee
 
Ndoa tuachane nazo Mkuu. Nakushauri ukishamuacha huyo mzungu usioe tena. Maana unayotendewa na huyo mke wa kizungu (binadamu mstaarabu) ni robo tu ya wanayotenda wanawake wa kiafrika kwa waume zao. Utakufa kwa mstuko ukiyajua madhila ya mke wa kiafrika.
 
Ndoa tuachane nazo Mkuu. Nakushauri ukishamuacha huyo mzungu usioe tena. Maana unayotendewa na huyo mke wa kizungu (binadamu mstaarabu) ni robo tu ya wanayotenda wanawake wa kiafrika kwa waume zao. Utakufa kwa mstuko ukiyajua madhila ya mke wa kiafrika.
Hahahaha mkuu usimkatishe tamaa mwenzio
 
tabu yote hiyo ya kuvizia simu na maemail ya nini...kuna wanaume mazero kabisa. piga chini huyo malaya. wazungu hawanga Mungu na umalaya ni desturi yao. dhamiri zao zilishakufa
Make an informed decision. Ukishakubaliana na hali, unakuwa kama unamsanifu anachofanya kwani unakuwa unakijua hali akidhani hujui. In fact, inakuwa exciting. Kesho unajiuliza ntaona nini :)
 
Make an informed decision. Ukishakubaliana na hali, unakuwa kama unamsanifu anachofanya kwani unakuwa unakijua hali akidhani hujui. In fact, inakuwa exciting. Kesho unajiuliza ntaona nini :)

Very interesting
 
Make an informed decision. Ukishakubaliana na hali, unakuwa kama unamsanifu anachofanya kwani unakuwa unakijua hali akidhani hujui. In fact, inakuwa exciting. Kesho unajiuliza ntaona nini :)

psychological sickness. You need a professional councellor...huna tofauti na wapiga chabo.
 
Ishu ya leo iko hivi, baada ya kuingia kwenye ndoa, mke wangu alibadilika japo siyo sana but tumekuwa na ugomvi ambao anauanzisha yeye, siyo mke mwenye kusema anaweza kuongea na wewe kwa heshima. Ni mtu wa kufoka, kutukana na hakuna sekunde unaweza kusema sasa tuna enjoy maisha. Kuna wakati hata kwenye kugegedana katikati anaweza kuanzisha varangati.

Ila kwa sasa ni muda tumehamia Unyamwezini long time kidogo ndo kabisaaaaaaaa mambo yameharibika mpaka yeye mwenyewe akaanza kwenda kwa washauri wa ndoa baadae akanishawishi tukawa tunaenda wote.
Umenikumbusha miaka kadhaa nyuma Nilikuwa Internet cafe, akaingia kijana na mpenzi wake mzungu kujaza visa. Ilikiwa kichekesho manake hata hawaelewani.

Jamaa anafanya kufwata maelekezo tu. Ikafika point Kukawa na kikwazo kwenye form huyo dada anasema Oohh, akimuelezea Jamaa haelewi, mdada akakasirika akamkaripia "DON'T YOU UNDERSTAND". Hadi aibu.

So nawaza tu, huyo mwanamke hata lugha mnaelewana? Usikute unamsema bure kuwa ni mgomvi Hana heshima kumbe kachoka na kutoelewa Kwako.

Unasema hadi kwenye kegegedana anaanzisha, huwa unamsikiliza shida zake na kuzi solve? Unless ana matatizo ya akili hawezi kuwa mkorofi from nowhere.

Miscommunication is a big problem in relationships.

Umesema na wewe ulialikwa kwa washauri lakini hujagusia kabisa walikusaidiaje na jitihada ulizochukua kutengeneza mahusiano yenu!
 
Umenikumbusha miaka kadhaa nyuma Nilikuwa Internet cafe, akaingia kijana na mpenzi wake mzungu kujaza visa. Ilikiwa kichekesho manake hata hawaelewani.

Jamaa anafanya kufwata maelekezo tu. Ikafika point Kukawa na kikwazo kwenye form huyo dada anasema Oohh, akimuelezea Jamaa haelewi, mdada akakasirika akamkaripia "DON'T YOU UNDERSTAND". Hadi aibu.

So nawaza tu, huyo mwanamke hata lugha mnaelewana? Usikute unamsema bure kuwa ni mgomvi Hana heshima kumbe kachoka na kutoelewa Kwako.

Unasema hadi kwenye kegegedana anaanzisha, huwa unamsikiliza shida zake na kuzi solve? Unless ana matatizo ya akili hawezi kuwa mkorofi from nowhere.

Miscommunication is a big problem in relationships.

Umesema na wewe ulialikwa kwa washauri lakini hujagusia kabisa walikusaidiaje na jitihada ulizochukua kutengeneza mahusiano yenu!

Well, from your point of view and of course because you are not in my shoes, your irrational judgement is well understood.

Mpaka hapo nadhani hoja yako ya kutokuelewa imejibiwa.

Kuhusu kumgegeda na fujo zake, kama kuna mtu yuko open kwenye kujadili na kusolve matatizo ya kimahusiano kwa ukomavu, nadhani Mimi ni mmoja wao. Hakuna topic nayoshindwa kujadili tena bila mihemko.

Kwa mshauri nilihudhuria kama mara tatu tukawekeana malengo na mbele ya mshauri nikatoa dau kabisa kwamba shemeji asiponitukana na kunifokea kwa madharau kama mtoto ningemzawadia 500$.

Mimi nilitekeleza kwa upande wangu, kumsikiliza na hoja yake kuu ilikuwa matumizi ya simu of which mimi ilikuwa scapegoat maana ugomvi ikizidi nachukua simu nakaa kimya busy na jf.

Thanks for your concern lakini
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom