*MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA NJOMBE AJIUNGA NA CCM ASEMA RAIS MAGUFULI ANASTAHILI KULINDWA*
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mkoa wa Njombe Ndg, Edwin Swalle na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Jimbo la Lupembe Mkoani Njombe Ndg...
Aliyekua MWENYEKITI wa CHADEMA MKOA WA NJOMBE WAKILI EDWIN ENOSY SWALE AMEHAMIA CMM
Edwin Enosy Swale mwaka 2015 aligombea ubunge kuptia tiketi ya Chadema kwenye Jimbo la lupembe, hata hivyo leo tar 06/10/2019 ametangaza rasmi kujiunga na chama cha mapinduzi katika ofisi za CMM mkoa wa Njombe
SOMA ZAIDI MAMBO YA MAPENZI NA MAHUSIANO KUPITIA HAPA
Wanaume huonekana kushangazwa sana na tabia ya wanawake kutopenda kuanzisha tendo la ndoa wanapokuwa faragha. Licha ya wanaume kutokuwa na tatizo la kuanzishatendo la ndoa faragha, wakati mwingine wanaume hutamani kuona wanawake wakifanya...
August 16 2016 ikiwa ni siku moja imepita toka kuenea kwa habari katika mitandao ya kijamii kuwa mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji amejiuzulu nafasi yake ya uenyekiti kwa madai ya kuandamwa na maneno na kujihisi mpweke kwani hakuna mwanachama yoyote wa Yanga aliyeonesha kuwa upande wake.
Baada...
Hatimaye aliyekuwa Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Josephine Mushumbusi.
Wawili hao walifunga ndoa nchini Canada jana katika kanisa moja, lakini habari zinaeleza si kanisa Katoliki ambalo Dr Slaa aliwahi kuwa Padri kwa kipindi cha miaka 20...
kama siyo lazima ni nn maslahi yake kwa umma, maana kiongozi anapotoa huduma lazima aangalie mantiki yake kwa wananchi, unanikata mikono ili unipe msaada kwakua nitashindwa kutafuta hhahhaa
hoja ya msingi ni kuongeza maslahi ya walimu ili kila mwalimu, aende kwa usafiri anaopenda kazin, mbna wao hawapandi daladala ina maana mwalim hastahiri kuwa na private car au nao watumia magari ya umma kama watumishi wengine wa serikali,
HIVI HUYU ALIYELETE HOJA YA WALIMU KUSAFIRI BURE ALIKUA ANAWAZA NN MAANA, KAMA NI MSAADA KWA WALIMU NAONA KAMA SERIKALI ITAKUA HAIJATOA MSAADA, KAMA WANAHITAJI KUWASAIDIA BASI WAWALIPE STAHIKI ZAO ZOTE NA MADENI YOTE HALAFU KILA MWALIMU ALIPE NAULI KAMA KAWAIDA ILI KUONGEZA KIPATO CHA TAIFA...
IGP Ernest Mangu.
MHUDUMU wa afya mwandamizi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, Paul Ngassa (57) amekamatwa akidaiwa kupokea rushwa ya Sh 40,000 kutoka kwa mgonjwa Edward Tindi aliyefanyiwa upasuaji hospitalini hapo. Mgonjwa huyo aliyekuwa amelazwa katika hospitali hiyo ni...
Meli ambayo imebebea maelfu ya vitabu, ambayo huhudumu kama maktaba, imetia nanga bandarini Dar es Salaam.
Meli hiyo ina zaidi ya vitabu 5,000 pamoja na video.
Itakuwa bandarini Dar es Salaam kwa muda wa wiki tatu hivi, hadi tarehe 17 Februari
Wananchi wataruhusiwa kuingia kati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.