mkereketwa89
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 277
- 145
Limekaa kisiasa zaidi..walimu wanapiga kura ndo mana bure..wanafunzi hawapigi kura inabdi walipe.kwaio maisha baada ya uchaguzi ni maigizo
MTANZANIA ndivyo tulivyo mkuu. Asilimia kubwa ni majitu ya hovyo sana. Angalia comments ya baadhi ya majitu humu ndio utapata takwimu halisi ya madubwana yalivyo na hila nafiki....kwa kuwa tu Hilo suala limeletwa na DC Paul Makonda.Tanzania bana ukileta akili chanya lazima wataleta akili hasi kwa ajili ya kupata ufahali tu.
Ni watu wachache sana wenye tabia hizo mi ni mwalimu nasema lazima nichukue kitambulisho siwasikilizi cwtTanzania bana ukileta akili chanya lazima wataleta akili hasi kwa ajili ya kupata ufahali tu.
Mshangao ni kuwa huyu ni DC wa Kinondoni lakini anafanya maamuzi ya bosi wake RC, au anakaimu nafasi hiyo?Walimu? Walimu wa kinondoni?
Sawa na mtoto je? JPM kaamua kuwapa watoto elimu bure hivo ingekuwa jambo jema kusafiri bure pia!
kama siyo lazima ni nn maslahi yake kwa umma, maana kiongozi anapotoa huduma lazima aangalie mantiki yake kwa wananchi, unanikata mikono ili unipe msaada kwakua nitashindwa kutafuta hhahhaaLkn mkuu cyo lazima kupanda hiyo bure
Walimu nao mtawanunulia sare kama za Polisi na Jeshi, halafu kwa nini iwe ni walimu tu wa kusafirishwa bure na isiwe madaktari, wauguzi, wataalam wa kilimo n.k.?DC yupo sahihi kufanya hivo na wala sio kuwazalilisha waalimu kama wengine mnavozani mbona polisi wanajeshi wanasafiri buree akati nao wanalipwa mshaharaa inamana nao wanazalilishwa makonda amefanya analoliweza yeye kwa waalimu wa dar huezi mlazimisha eti sisi hatutaki kusafiri bure tunataka nyumba na mishahara mikubwa ili tulipe wenyewe nauli yeye amefanya anachoweza wewe kama hutaki bure toa nauli
Pole wape walimu mnaowatumia kisiasa zaidi badala ya kutengeneza mfumo endelevu,mwanae alipe mia mbili and at the same time yeye anapanda bure! Mnawatengenezea aibu jibu ni kuwakopesha vyombo vya usafiri au muwaongezee hela ya nauli kwenye mishahara yaoKwa akili yako mwalimu wa Manyovu anapanda daladala? Je, wazo hili ni la serikali kuu au ni initiative ya sehemu husika? Poleni sana