Mkuu Tanzania umehamia lini?
Miezi mitatu ya tozo za kwenye miamala ya simu zilipambwa sana kua zimepatikana kiasi kadhaa zitatumika kufanya kitu fulani lakini saivi hakuna tena hiyo kitu. Kama umetumwa kupima upepo mkuu kawaambie tu kua waongeze hizo Kodi kwa sababu tumeshajua wanachotaka ni...
Kama umeanza kumuona madueke hafai saizi basi Kuna watu walianza kumuona kabla ya wew na ulitakiwa kuheshimu mitazamo ya wenzako kama ambavyo wengine wanaheshimu mtizamo wako.
Mkuu mbona U-turn tena, wakisema wenzako unakuja juu as if mpira unaangalia peke ako wengine vipofu.
Madueke alitakiwa awe Ipswich town FC kule lakini sio kucheza Chelsea.
Nenda sehemu panaitwa narco ama njia panda ya kiteto utapata basi pale au hapo gairo subiri gari za kutoka dar to kiteto kama M.J safari, Kimbinyiko, Kamwana, nauli nadhani itakua inacheza kwenye 25000/= (Sina uhakika sana juu ya Hilo).
Kuhusu guest nzuri hiyo ni changamoto kubwa ya kiteto...
Mkuu Madueke namjua toka anacheza league ya uholanzi, ni mchezaji wa kawaida mno kucheza Chelsea labda let's hope miaka mitatu ijayo awe amejifunza mpira lakn kwa Sasa hapa he's too low for Chelsea.
Mkuu kwa heshima yako kwenye hili jukwaa nimejitahidi sana nisikukosee heshima lakini naona shetani anakataza kabisa na ntashinda tu.
Madueke umfananishe na doku kweli??? Seriously???
Nadhan ni watu wa aina mbili wanaoweza kufanya comparison ya namna hii
1. lembu
2. Kichaa asiejua mpira bali...
Noni watano twanga na sterling wawili weka na mchuuzi wa mykalo ndipo Joao mmoja mkuu.
Noni ni wa kucheza team kama crystal palace au Everton lakn sio Chelsea, nikimuangalia noni anacheza najisemea pengine ningekua Ulaya saiv yawezekana ningekua mchezaji wa premier kwa sababu akili ya mpira...
Kweli mwenye mtoto haoni kasoro.
Hadi kesho nabaki najiuliza ni ubora gani wa madueke mnaouhubiri humu ndani? Madueke huyuhuyu tunaemuangalia sote ndye mseme ni Bora kwa Joao, seriously? Ni basi tu pengine Joao ana kigundu chake lakn ni dhambi kubwa ya mpira kumfananisha na noni, Joao is far...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.