Recent content by Jafar

  1. J

    JamiiForums Tanzania Kikwete kuteua wakuu wapya wa mikoa karibuni

    Hiyo ni zawadi kwa "mama mkwe" anasubiria msahau aanze tena "kugawa shukrani kwa washikaji" ngoja uone.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA kutokumtambua Rais ni Kosa?

    Upuuzi mtupu, hii post imekaa ki-CCM sana. Lakini pale shati-la-kijani-CCM litakapowabana watawapigia magoti CHADEMA.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Lowassa amkosoa Kikwete

    hata mimi nilimsikia akisema hivyo na namuunga mkono kwa hilo lakini CCM wanajua hayo?
  4. J

    JamiiForums Tanzania DR Slaa aeleza sababu ya CHADEMA kususa

    Mwaka ule ambao Rais Keneth Kaunda alishindwa uraisi hakuamini kwamba anaweza kushindwa. Tume ilipotangazwa kushindwa kwake, aliondoka ikulu bila ya kujiandaa na kwa aibu kubwa. Baada ya wiki moja alipanda ndege kuja Tanzania na alipewa nafasi ya kuhutubia NEC-CCM na kuwaeleza kuwa "msiombe...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Historia ya Wimbo wa Taifa wa Tanzania na mtunzi wake

    Kumbe tuli-desa, kwanini hatuuachi tukatunga cha kwetu
  6. J

    JamiiForums Tanzania Nusura Nitapike!

    Msamehe bure
  7. J

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

    Hii ni ya 2005 sijui mwaka huu mahesabu yakoje PartiesVotes%DirectAdditionalTotalseatsWomenseats seats Chama Cha Mapinduzi (Revolutionary Party)7,579,8977020658264Civic United Front (Chama Cha Wananchi)1,551,24314.3191130Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Party for Democracy and...
  8. J

    JamiiForums Tanzania The Best Bongo Flava Tunes (yenye maudhui ya siasa)

    Nenda CCM Lumumba utapata "album" zote
  9. J

    JamiiForums Tanzania Top Ten footballers Tanzania ever produced

    Sorry, umemsahau Rashid Mfaume (RIP)
  10. J

    JamiiForums Tanzania Jamani hodiii..!! Nikaribisheni mwenzenu nitoe dukuduku langu...

    Basi hufai kuja hapa, nenda sehemu nyingie kama Clouds FM, Uhuru na Mzalendo, Daily News n.k. lakini karibu:sorry::blah::bump::closed_2::lalala::banplease:
  11. J

    JamiiForums Tanzania Mazao gani yanafaa kwa kilimo chalinze?

    panda 1. Mananasi 2. Mihogo 3. Mbaazi 4. Mkonge
  12. J

    JamiiForums Tanzania Aaarrrrrrggrr nipokeni, walitema mate chini, hata Masai hawamtaki JK,

    sasa mbona ndugu zao walimchagua huyo huyo ???? lakini karibu :welcome::welcome::welcome:
  13. J

    JamiiForums Tanzania Jamani hodiii..!! Nikaribisheni mwenzenu nitoe dukuduku langu...

    Karibu sana :welcome::welcome:
  14. J

    JamiiForums Tanzania GE2010 Nani kuukwaa uwaziri mkuu?

    No tatizo lazima awe "mkristu" ili kubalansi pale juu. Kwa hiyo sio kweli ... god forbid.
  15. J

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli?

    Kwa ndume hakuna madhara, kwa jike anaweza akapoteza uwezo wa kufikiri kimaantiki.
Back
Top Bottom