Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,224
Nipo hapa Lumumba napata kifungua Kinywa lakini pia naangalia kipindi cha "Tuongee Asubuhi" kutoka Startv. Mwendesha kipindi Pascal Mabuga anang'ang'ania kwamba kwenye Jf wanauponda uamuzi wa CHADEMA kutoka nje ya bunge wakati Kikwete anahutubia bunge.
Kila akieleweshwa kwa upana dhana ya demokrasia na kukomaa kisiasa na wageni aliowaalika, yeye hoja yake kuu kama CHADEMA hawamkubali Kikwete ni kwa nini walienda kuomba kura kwa wananchi.
Kwa kweli nusura nitapike kwa jinsi Mabunga anavyoonekana kuwa kama zuzu kwa lengo tu la kuitetea CCM na Kikwete wake.
Kila akieleweshwa kwa upana dhana ya demokrasia na kukomaa kisiasa na wageni aliowaalika, yeye hoja yake kuu kama CHADEMA hawamkubali Kikwete ni kwa nini walienda kuomba kura kwa wananchi.
Kwa kweli nusura nitapike kwa jinsi Mabunga anavyoonekana kuwa kama zuzu kwa lengo tu la kuitetea CCM na Kikwete wake.