Airtel saiv hawaeleweki niliamusha pesa zangu kidogo kutoka Airtel money kwenda kwenye TIMIZA AKIBA Yao imetokea nimekwama leo siku ya nne toka nimeahamisha hela kutoa kwenye TIMIZA kurudisha kwenye Airtel money niweze kutoa hela haitoki naambiwa tunashughulikia muamala wako.
Huduma kwa wateja...
Naomba kama umebahatika kuipata hiyo joining instruction ya kibiti high school nipasie na Mimi
Email address
edgarobonyo25@gmail.com
Whatsapp # 0659716056
Me ninayo iPhone 4s nauza kwa atakayejitokeza ni yangu kbs but ilikuja kwa makosa nilipoagiza yaan haina sehemu ya kukaa line hivyo unatumia wifi tu. Anaehitaji hata spare zake aje inbox tufanye biashara
Yeezus Kwanza nikwambie tu me siyo bwege Kama ulivyosema na Nina akili zangu timamu refers to the aim ya mtoa hoia, kaongelea kuhusu usomaji usome kwa kufata misingii ipi , na pia kabla ya kuingia kwenye paper unapaswa kufanya nn.... Na siyo kwamba hivyo vitu sivijui Na hicho ndicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.