Roadmap
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,898
- 5,797
Hawa jamaa wakuitwa Airtel wapo kwenye Autopilot pengine chombo kishafeli na rubani wameshavaa Parachute au Life Jacket sisi abiria hatujui kinachoendelea.
Hawa Ndugu zangu licha ya kuwa na Coverage kubwa nchini ila kwa sasa kwa kweli huduma zao ni mbovu jana nimetuma message ikaonesha imefail ila ajabu niliyemtumia kaniambia hio message ameipata leo hii. Yaani sms itumwe jana then ifike leo tena mtumaji haimuoneshi delivery report!
Nafahamu Sector ya mawasiliano haina monopoly hivyo kung’ang’ana na provider mmoja ni kujichosha ila sasa utafanyaje na official number yako ni Airtel?
Kwa suala la internet huwa silalamiki maana nina simcard zote, net ya provider huyu ikiyumba natoa chip yake naweka kwa wallet naweka chip ya provider mwingine mpaka nisikie kajirekebisha .
Sasa ndugu zangu hawa Airtel hata ku provide tu basic services kama Kulipa umeme, Kupiga simu au kutuma text napo mnakwama hio kitengo cha ICT watu ni wamelala au?
Hawa Ndugu zangu licha ya kuwa na Coverage kubwa nchini ila kwa sasa kwa kweli huduma zao ni mbovu jana nimetuma message ikaonesha imefail ila ajabu niliyemtumia kaniambia hio message ameipata leo hii. Yaani sms itumwe jana then ifike leo tena mtumaji haimuoneshi delivery report!
Nafahamu Sector ya mawasiliano haina monopoly hivyo kung’ang’ana na provider mmoja ni kujichosha ila sasa utafanyaje na official number yako ni Airtel?
Kwa suala la internet huwa silalamiki maana nina simcard zote, net ya provider huyu ikiyumba natoa chip yake naweka kwa wallet naweka chip ya provider mwingine mpaka nisikie kajirekebisha .
Sasa ndugu zangu hawa Airtel hata ku provide tu basic services kama Kulipa umeme, Kupiga simu au kutuma text napo mnakwama hio kitengo cha ICT watu ni wamelala au?