Unachofanya unakosea asee .. kama ungekua hujatumia pesa ya wife wako kwenye kujijenga upya hapo ungekua free kufanya mambo yako .. hata kama alikua anakudanganya ila.kwa namna moja au nyingine pesa zake ndio zimekusaidia kaa chini mfungue ukurasa mpya na mkeo kwenye ndoa yenu .. unachotaka...
Muda wote nilikua nachukizwa na ukawa kwa kumleta lowasaa ila asee nimekuja humu ndio nimeona sipo peke yangu kuna wadau wengi pia wameona na hawa ukawa nao miyeyusho tu...
Me binafsi niliwaamini sana kabla ya kumteua kwao lowassa ila baada ya kumpokea huyo jamaa na kumfanya awe mgombea wao...
Habari Zenu wakuu..
Me ni member mpya humu jf sina muda sana na ni shabiki mkubwa wa arsenal football club.. naitwa Joel Chuku...
Kwa watumiaji wa facebook watakua wananifahamu kwakua nipo kwenye magroup mbali mbali ya huko..
Natumaini mtanipokea tuongelee michezo ili sote tuburudike ...
kwa maelezo yako unacho taka mimi sikielewi .. Unataka mimba ipotee kimiujiza .. Wewe ushatoa boko, hamna kukimbia ukweli .. Chagua umuoe huyo binti au mtoto Wako alelewe na Baba/mama mwingine au uitoe iyo mimba ..
Hapo hamna njia zaidi ya hizo.. Face the fact usiwape shida watu wa kukupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.