Karimu123
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 244
- 114
Wakuu Habari zenu Natumain Mko Njema kabisa Nimerudi tena Wadau Ikiwa ni Kama Mwezi Umepita Baada ya Kuleta Tatizo langu la Anatumia bracelet aliyopewa na mama yake aliyekufa asipate mimba, kapata mimba nifanyaje?
Baada ya Kumchunguza sana huyu binti Aligoma kabisa Kufunguka zaidi sasa Leo Amenipa Msg Ambayo Imenifanya nianze kuamin maneno ya Mkuu sonnita nakukuu Msg zake nitatumia Jina sio Halisi
''Najisikia Naumwa Sana na Tumbo nataka kwenda Hospital kucheki inawezekana Mtoto kafia Tumboni''
Nilimjibu sawa utanijulisha basi majibu yatakavyo kuwa baada ya mda kama lisaa hivi aanisms akanimbia
''Hawana Jipya Hawa wanasema ni kawaida tumbo kuuma kipindi cha mwanzo mtoto yuko vizuri sana na ana miez miwili wiki moja na siku tano''
Nizungumze Ukwel nilikutana kimwili na huyu bint tareh 25 mwezi wa saba tarehe moja aliniambia ana ujazito wangu wa siku 11 sasa leo ndo nimeanza kumtilia mashaka kabisa ananibambikizia ujazito ukupiga mahesabu ya haraka haraka ni siku 44 sawa na mwezi na week 2 sasa wakuu nimerudi tena je nimwache nimwambie ukweli kuwa hiyo mimba sio yangu au nikaushe niendelee kumfariji hadi mtoto azaliwe niangalie mahesabu siku
CC sonnita nakushukuu sana mkuu mungu akujalie mume mema unaakili kama redio ya mkoloni I owe you Alot Dear...
Baada ya Kumchunguza sana huyu binti Aligoma kabisa Kufunguka zaidi sasa Leo Amenipa Msg Ambayo Imenifanya nianze kuamin maneno ya Mkuu sonnita nakukuu Msg zake nitatumia Jina sio Halisi
''Najisikia Naumwa Sana na Tumbo nataka kwenda Hospital kucheki inawezekana Mtoto kafia Tumboni''
Nilimjibu sawa utanijulisha basi majibu yatakavyo kuwa baada ya mda kama lisaa hivi aanisms akanimbia
''Hawana Jipya Hawa wanasema ni kawaida tumbo kuuma kipindi cha mwanzo mtoto yuko vizuri sana na ana miez miwili wiki moja na siku tano''
Nizungumze Ukwel nilikutana kimwili na huyu bint tareh 25 mwezi wa saba tarehe moja aliniambia ana ujazito wangu wa siku 11 sasa leo ndo nimeanza kumtilia mashaka kabisa ananibambikizia ujazito ukupiga mahesabu ya haraka haraka ni siku 44 sawa na mwezi na week 2 sasa wakuu nimerudi tena je nimwache nimwambie ukweli kuwa hiyo mimba sio yangu au nikaushe niendelee kumfariji hadi mtoto azaliwe niangalie mahesabu siku
CC sonnita nakushukuu sana mkuu mungu akujalie mume mema unaakili kama redio ya mkoloni I owe you Alot Dear...
Last edited by a moderator: