The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,456
- 17,212
Hii sio aina ya maisha niliotamani kuishi, sikutamani kua na mtoto kabla ya ndoa.
Ni hivi kuna binti nimempa ujauzito, imetokea kwa bahati akashika ujauzito, simpendi maana yake ni kwamba sitamuoa na yeye anajua simpendi na hatukua na mipango ya kuoana ila kapata ujauzito wangu.
Sitamani mwanangu kuja kulelewa na mama au baba mwingine au wajomba wakati baba yake nipo, tumefikiria kuitoa lakini bado sijaafiki kaniomba kama najua sitamuoa basi nimruhusu aitoe.
Binafsi sitaki kushiriki kuua ingawa pia siko tayari kumuoa huyu mrembo,s itaki kua na mtoto kabla ya kuoa, kwa kweli niko njia panda. Sina sababu ya kutokumuoa maana anakidhi vigezo vyangu vyote.
Lakini simpendi na nimejitahidi kutaka kumpenda hisia haziji ila hapa nawaza bora tu nimruhusu aitoe ingawa yeye pia yuko tayari kuzaa hata kama sitamuoa tatizo liko kwangu sikutamani kupata mtoto kabla ya kuoa.
Mawazo yenu tafadhali
Ni hivi kuna binti nimempa ujauzito, imetokea kwa bahati akashika ujauzito, simpendi maana yake ni kwamba sitamuoa na yeye anajua simpendi na hatukua na mipango ya kuoana ila kapata ujauzito wangu.
Sitamani mwanangu kuja kulelewa na mama au baba mwingine au wajomba wakati baba yake nipo, tumefikiria kuitoa lakini bado sijaafiki kaniomba kama najua sitamuoa basi nimruhusu aitoe.
Binafsi sitaki kushiriki kuua ingawa pia siko tayari kumuoa huyu mrembo,s itaki kua na mtoto kabla ya kuoa, kwa kweli niko njia panda. Sina sababu ya kutokumuoa maana anakidhi vigezo vyangu vyote.
Lakini simpendi na nimejitahidi kutaka kumpenda hisia haziji ila hapa nawaza bora tu nimruhusu aitoe ingawa yeye pia yuko tayari kuzaa hata kama sitamuoa tatizo liko kwangu sikutamani kupata mtoto kabla ya kuoa.
Mawazo yenu tafadhali