Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

NEWS ALERT!!!! TRANSFER UPDATE

Wakuu, niaje?

Baada ya sakata ndeefu leo Arsenal kimyakimya wameweka paundi 48milioni mezani kwa Real Madrid na inaweza kukubaliwa kwa Karim Benzema.

55d49182c4c56_KarimBenzemaArsenaltransfernews459696.jpg

Karim Benzema

Ikumbukwe Arsenal wamekwishaenda mara mbili kwa 35 M na 45M na zote zikakataliwa hivyo wameongeza dau kuona kama deal litaenda through.

Benzema amezungumza na raisi wa timu hiyo bwana Florentino Perez Rodriguez na kuomba asajiliwe na Arsenal.

Ila Real Madrid hawako tayari mpaka watakapomsajili mshambuliaji mwingine kuziba nafasi ya Benzema na wanazungumzwa Marco Reus na Gonzalo Higuaín.

Kuna mchezaji mwingine wa kiungo anatafuatiliwa.

Huyu ni kiungo wa Poland na anaitwa Grzegorz Krychowiak.
kry_630x442.jpg

Grzegorz Krychowiak

Krychowiak ni DM mahiri wa timu ya Sevilla ya Spain.

Habari zaidi ndani ya masaa 24, na ntarudi hapa.
 
Benzema he's ored arsenal no way Madrid will keep him n no way French man will left a French man behind
 
NEWS ALERT!!!! TRANSFER UPDATE

Wakuu, niaje?

Baada ya sakata ndeefu leo Arsenal kimyakimya wameweka paundi 48milioni mezani kwa Real Madrid na inaweza kukubaliwa kwa Karim Benzema.

55d49182c4c56_KarimBenzemaArsenaltransfernews459696.jpg

Karim Benzema

Ikumbukwe Arsenal wamekwishaenda mara mbili kwa 35 M na 45M na zote zikakataliwa hivyo wameongeza dau kuona kama deal litaenda through.

Benzema amezungumza na raisi wa timu hiyo bwana Florentino Perez Rodriguez na kuomba asajiliwe na Arsenal.

Ila Real Madrid hawako tayari mpaka watakapomsajili mshambuliaji mwingine kuziba nafasi ya Benzema na wanazungumzwa Marco Reus na Gonzalo Higuaín.

Kuna mchezaji mwingine wa kiungo anatafuatiliwa.

Huyu ni kiungo wa Poland na anaitwa Grzegorz Krychowiak.
kry_630x442.jpg

Grzegorz Krychowiak

Krychowiak ni DM mahiri wa timu ya Sevilla ya Spain.

Habari zaidi ndani ya masaa 24, na ntarudi hapa.


Alhamisi 20 August 2015


Updates kabla ya mechi na Liverpool jumatatu uwanjani Emirates.

Meneja Arsene Wenger anasema hakuna majeruhi baada ya mechi na Crystal Palace.

Hector Bellerin huenda akaanza tena kucheza kama mlinzi wa upande wa kulia.
 
NEWS ALERT!!!! TRANSFER UPDATE

Wakuu, niaje?

Baada ya sakata ndeefu leo Arsenal kimyakimya wameweka paundi 48milioni mezani kwa Real Madrid na inaweza kukubaliwa kwa Karim Benzema.

55d49182c4c56_KarimBenzemaArsenaltransfernews459696.jpg

Karim Benzema

Ikumbukwe Arsenal wamekwishaenda mara mbili kwa 35 M na 45M na zote zikakataliwa hivyo wameongeza dau kuona kama deal litaenda through.

Benzema amezungumza na raisi wa timu hiyo bwana Florentino Perez Rodriguez na kuomba asajiliwe na Arsenal.

Ila Real Madrid hawako tayari mpaka watakapomsajili mshambuliaji mwingine kuziba nafasi ya Benzema na wanazungumzwa Marco Reus na Gonzalo Higuaín.

Kuna mchezaji mwingine wa kiungo anatafuatiliwa.

Huyu ni kiungo wa Poland na anaitwa Grzegorz Krychowiak.
kry_630x442.jpg

Grzegorz Krychowiak

Krychowiak ni DM mahiri wa timu ya Sevilla ya Spain.

Habari zaidi ndani ya masaa 24, na ntarudi hapa.


Alhamisi 20 August 2015


Updates kabla ya mechi na Liverpool jumatatu uwanjani Emirates.

Meneja Arsene Wenger anasema hakuna majeruhi baada ya mechi na Crystal Palace.

Hector Bellerin huenda akaanza tena kucheza kama mlinzi wa upande wa kulia.

Mkuu Richard hii dili ya Benzema ikikamilika itakuwa poa sana. But tatizo ni kuwa kwa uzoefu uliopo ni kuwa mchezaji anayetajwa sana na media mara nying huwa haijatokea Arsenal wakamsajili.
All in all maybe hii inawezekana lets wait and see.
#COYG .
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Richard hii dili ya Benzema ikikamilika itakuwa poa sana. But tatizo ni kuwa kwa uzoefu uliopo ni kuwa mchezaji anayetajwa sana na media mara nying huwa haijatokea Arsenal wakamsajili.
All in all maybe hii inawezekana lets wait and see.
#COYG .

Ni kweli mkuu.

Arsenal lazima watafanya usajili ukizingatia Chelsea na Man City wamefanya usajili wa maana.

Ni Benzema, huyo Mpolish au Edinson Cavani na mchezaji mwingine wa kiungo.

Ni wachezaji wawili Arsenal watasajili lakini itakuwa ni dakika za majeruhi.
 
Shida ya Wenger ni biashara ya Mitumba.... Yaani pesa ishatengwa, ipo lakini atang'ang'ania "apunguziwe bei" matokeo yake akija "aliyeserious" anachukua mchezaji....! Ngoja tuone ya Benzema!!!!
 
PhD 💪💪💪💪💪

Kipgo pale pale Chelsea ubovu wake ni kwa fabregas Ivanovich na terry ila wewe kwasabu huelewi kinachoendelea any way shukuru mungu umekula chuo cha mpila kuelimishwa
 
Shida ya Wenger ni biashara ya Mitumba.... Yaani pesa ishatengwa, ipo lakini atang'ang'ania "apunguziwe bei" matokeo yake akija "aliyeserious" anachukua mchezaji....! Ngoja tuone ya Benzema!!!!

Atasajili lazima atasajili believe me jamaa kana si kesho au keshokutwa ata undergo medical
 
Ni kweli mkuu.

Arsenal lazima watafanya usajili ukizingatia Chelsea na Man City wamefanya usajili wa maana.

Ni Benzema, huyo Mpolish au Edinson Cavani na mchezaji mwingine wa kiungo.

Ni wachezaji wawili Arsenal watasajili lakini itakuwa ni dakika za majeruhi.

Nafikiri kuanzia jumatatu au umma NNE tutaanza kusifia medical staff na vitu ka hizo ikizidi ni Monday
 
Back
Top Bottom